Majina ya wanaume ambao hutakiwi kudate nao

Kama mleta uzi ni mwanamke ntaona ni Malaya na kama ni mwanaume itakuwa shoga
 
Mhmmhmhmhmh namba langu lileeeeeeeeeeeeeeee☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝☝
Nalipendajeeeeeeeeee
Haha pia ni Mpole na mkimya na muelewa
Nampendajeeeeee

Cc Smart911
 
Mhhh, namba Kumi, mlemle................kuna kaukweli kidogo wakuu
 
Jina langu alipo ila kama nimeelewa kwenye no

23. Paul-Anapenda kutoa ahadi zisizokamilika
 
Daa,, iyo 44 inawez kua na ukwel kidgo,, coz kuna thread humu ya mtu mweny jina la hivo ameahid kumuoa Maria obama…!!!!


Yaani nimecheka kwa mwendo kasi Malia Obama wa kutengeneza au yule yule wa aliyeuwa rais wa America kama sio Marekani?
 
Yaani nimecheka kwa mwendo kasi Malia Obama wa kutengeneza au yule yule wa aliyeuwa rais wa America kama sio Marekani?
Anasem anatak kuwa mkwe wa "obama" so atakua ni yuleyule Rais wa America…!!
 
Wale tulio na majina yetu ya asili tuko salama kabisaaaa...............
 
41 sio kweli mkuu, hapo umetuingiza cha kike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…