hahaaaa,kweli jamani,au uongo?
yap! Tena kwa kishindo si umeona vishtobe vyote vimekimbia?
aaaa wapi mpole sana mie
ATM,Zoba,Mwanaume jina,Kisirani,Simba mla majani.,em ngoja niulize tena.
Mnaonaje tukimaliza jamani na kutangaza rasmi kuwa wote tumeshinda......mchezaji bora tumpe Hashy???
Shosti nataka opinion yako na Tatiana?
ATM,Zoba,Mwanaume jina,Kisirani,Simba mla majani.,em ngoja niulize tena.
sometimes handaki zingine ndefu......ukipiga chafya cha choropoka kuleeeee
yap! Tena kwa kishindo si umeona vishtobe vyote vimekimbia?
Mnaonaje tukimaliza jamani na kutangaza rasmi kuwa wote tumeshinda......mchezaji bora tumpe Hashy???<br />
Shosti nataka opinion yako na Tatiana?
jaduong Hashy ngoja nianze kukupongeza kabisa.
Ok, nakupenda sana kiluzi changunipende babu si unajua tena,ndio maana sijaitaja
mnaonaje tukimaliza jamani na kutangaza rasmi kuwa wote tumeshinda......mchezaji bora tumpe hashy???
Shosti nataka opinion yako na tatiana?
Mpambano ulikuwa mkali sana.
Samahani kwa wale wote niliowakwaza.
Ilikuwa ni utani tu.
I love u ol.
machipanzee
minyoo
......
nitaendelea
walikuwa wanafikiri wao hawana majina.
love u 2 ucjali ni katika kuburudishana.
tumejaa toooop
yani mchele umeninyima ushindi? Kweli kicheche ni kicheche tu, kinega kasingiziwaMnaonaje tukimaliza jamani na kutangaza rasmi kuwa wote tumeshinda......mchezaji bora tumpe Hashy???
Shosti nataka opinion yako na Tatiana?
Tena tele