:love::love::love::love:pipa = mwenye kifanywa kikubwa.
hivi, kwanini wengine wanawaita mademu ati samaki??
halafu nyie shosti na husninyo nyie... endeleeni tu, nie najua kabisa huwa mnaitwa buffet lakini sisemi, ati watu wanapanga foleni kupakua
sawa tu
tunaprovide protein.
halafu nyie masoseji.
halafu nyie masambusa ya nyama
halafu nyie watoto watoto
Husninyo unaona sasa?
halafu nyie videm videm
paka ndoa inaharibika. Mtasuluhisha nyumbani hapa tupo ofisini.
kimbilimbi....mkaka mkubwa ana kidude cha mtoto mchanga
Ujue kabisa nikitupiwa mfuko wangu wa lambo mi nakuja kwako,utanifungulia?
haha,shosti umenikumbusha mbaliiiii sana.
yamalizeni bwana. Mi sitaki ugomvi na shosti.
suluhisho akae kimya au awe upande wetu