majina yaliotoka bodi ya mkopo

majina yaliotoka bodi ya mkopo

DNA

Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
34
Reaction score
6
Jamni naombeni msaada kuna majina yaliotoka loanboard kuwa hayajawekwa viambatanishi jina langu nipo wameniandikia cheti cha kuzaliwa wakati nilikua affidavity jamani affidavity is inatumika badala ya cheti cha kuzaliwa? Manake mimi sina cheti cha kuzaliwa na nasikia inachukua muda kupata cheti deadylne nasikia tarehe 30
 
Jamni naombeni msaada kuna majina yaliotoka loanboard kuwa hayajawekwa viambatanishi jina langu nipo wameniandikia cheti cha kuzaliwa wakati nilikua affidavity jamani affidavity is inatumika badala ya cheti cha kuzaliwa? Manake mimi sina cheti cha kuzaliwa na nasikia inachukua muda kupata cheti deadylne nasikia tarehe 30

kama upo dar nenda Pale Rita(muhimbili) ukiwa na elfu ishirin yakoo! Week moja unapata chet chako Sure bila wasi wasi! Kama unamwenyej ofcn pale cku mbili tuu unapata chet! So ucogope DNA
 
Last edited by a moderator:
Asante sana mdau mie nipo arusha ila nilizaliwa dar itabdi nije niliogopa kuna rafki yake aliendaga mwaka jana ikachukua mwezi mzma
 
kama ni Arusha pia fika ofisi za Rita ziko ndani ya jengo la mkuu wa wilaya(kama sijakosea) kama unaelekea Mt.Meru hospital. Huwa inachukua wiki moja pia vema ukawahi mkuu...
 
kwan kama ukienda kufatilia chet cha kuzaliwa wanataka nn cha muhimu
 
Jamni naombeni msaada kuna majina yaliotoka loanboard kuwa hayajawekwa viambatanishi jina langu nipo wameniandikia cheti cha kuzaliwa wakati nilikua affidavity jamani affidavity is inatumika badala ya cheti cha kuzaliwa? Manake mimi sina cheti cha kuzaliwa na nasikia inachukua muda kupata cheti deadylne nasikia tarehe 30

mkuu wewe kama mimi.kipeperush cha bodi ya mikopo nlichochukua kweny mkutano wa vyuo vkuu kilielekeza chet cha kuzaliwa or affidavt,sasa basi.lakn jumatatu mkuu tujiandae kwenda rita wanatoa ndan ya cku tatu mpaka nne au tano mkuu.worr out
 
Affidavity huwa inatumika badala ya cheti cha kuzaliwa! Unaenda mahakamanii unapewa
 
Mdau wameniambia kwa kuwa nimezaliwa dar natakiwa nikachukulie huko ama nitoe hela mara mbili kinatumwa dar! Nikachukulie huko so bora niende tu dar
 
hawa jamaa wamazidi kuongeza problems aisee" zilikuwa 5 mara saiv 6
duh!
 
Mdau wameniambia kwa kuwa nimezaliwa dar natakiwa nikachukulie huko ama nitoe hela mara mbili kinatumwa dar! Nikachukulie huko so bora niende tu dar

we bora uende tu ukakomae nao mambo ya kutumiwa tumiwa haya siyo.
 
kwan kama ukienda kufatilia chet cha kuzaliwa wanataka nn cha muhimu

wanataka kithibitisho chochote kati ya hivi.. Kikadi kutoka hosp uliyozaliwa,Chet cha f4 au lvng, au hata chet cha drs la 7.. Then kuna fomu utapewa ujaze dondoo kuhusu ww na wazaz wako.. Baada ya hapo utaipitisha ofis ya kijij/Mtaa kwa mhuri.. Utalipia elf 5.. Bt ukitoa catalyst utakipata chet chako fasta sana
 
duh me naona bora hata ninyi,hapa kuna mtu wangu ameambiwa hakuweka signature na anatakiwa kwenda dar na tulivyo mbali mmmh,itakuwa noma,hata cjui itakuaje,cjui kwa nini hawajasema watume application upya kuliko kwenda dar
 
duh me naona bora hata ninyi,hapa kuna mtu wangu ameambiwa hakuweka signature na anatakiwa kwenda dar na tulivyo mbali mmmh,itakuwa noma,hata cjui itakuaje,cjui kwa nini hawajasema watume application upya kuliko kwenda dar

Mkuu mwambie awahi mapema maana hilo foleni litakalofuata kuanzia J5.. Lol!!!! Atajuta Kuchelewa
 
DNA, kwanini uende dar? Sikushauri kabsa, hizi ofisi siku hizi ni magumashi tu. Utaenda dar, utatumia gharama kubwa kwenda na kurudi Arusha alafu wakakuzungushe hadi uchoke. Nimeku PM namba za dada flani anaitwa Suzy, yupo pale Ofisi ya Mkuu wa Wilaya anaweza kukusaidia kupata Birth Certificate kwa urahisi. Kwani ni lazima uzaliwe dar na wewe? Siunaweza kuzaliwa Mt. Meru tu hapo ukakulia kwenye hyo baridi kali baasi!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom