Majina yaliyokaa kiuzinzi uzinzi

Wakin SAIDI wapole sanaa halafu hawanaga tabia mbaya hata kidogo kwanza ni wacha mungu halafu watulivu hadi wanakuwa wajinga .
N.b
Ninarafiki yangu hadi namuona kama zoba sasa manake ni mpole balaa sjajua inasababishwa na nini hii kitu.
Said ukitoa herufi i linakuwa Sad! Hivyo hawa jamaa huwa sio mazoba ila ni sadness kimtindo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…