Majina yamepotea ghafla katika gmail

Majina yamepotea ghafla katika gmail

G M S

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2011
Posts
502
Reaction score
53
Habari wadau ,, naomba niende kwenye mada,, ni siku nne Sasa majina mengi yametoweka ktk sim yangu hasa yaliyokuwa saved ktk email nimepambana kila namna nimefeli msaada pls"
 
Pengine hiyo email ilikuwa logged in kwenye device nyingine, kuna mtu akayapunguza majina. Kama ni kweli ni swala la muda tu, atayapunguza yote maana hayajui.
 
Iliwahi kunitokea lakini baada ya siku kadhaa majina yakarudi yenyewe sikujua nini kilitokea.
 
Habari wadau ,, naomba niende kwenye mada,, ni siku nne Sasa majina mengi yametoweka ktk sim yangu hasa yaliyokuwa saved ktk email nimepambana kila namna nimefeli msaada pls"
Angalia umeruhusu majina yaliyokuwa saved wapi yawe displayed kwenye hyo device yako, cz kuna device nyingne zinakupa mtumiaji option ya majina yapi yawe displayed
 
Angalia umeruhusu majina yaliyokuwa saved wapi yawe displayed kwenye hyo device yako, cz kuna device nyingne zinakupa mtumiaji option ya majina yapi yawe displayed
Case closed! Iliwahi kunitokea.

Afungue hyo contact app halafu kwa juu kabisa upande wa kushoto abofye vimistari vitatu vile achague namba za wapi ziwe displayed.
Kuna All, SIM 1, SIM 2, Google, Phone. Sasa hapo achague ALL.
 
Tnx Kwa mawazo wadau,, contact to be displayed ilikuwa ok,, option ya Chen Hu imenisaidia email yangu inatumika Zaid ya device moja yalikuwa deleted nimeyarestore yamerudi,, zaidi nataka nitafute namna ya kumfungia matumizi ya email yangu katika device nyingine japo Yuko mkoa tofauti.
 
Tnx Kwa mawazo wadau,, contact to be displayed ilikuwa ok,, option ya Chen Hu imenisaidia email yangu inatumika Zaid ya device moja yalikuwa deleted nimeyarestore yamerudi,, zaidi nataka nitafute namna ya kumfungia matumizi ya email yangu katika device nyingine japo Yuko mkoa tofauti.
Change password and log out email address yako,yule mwenye device nyingine hawezi tumia bila new password.
 
Back
Top Bottom