jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
UKAWA tunaomba list ya majina ya wajumbe waliopendekezwa au watakaopendekezwa kuingizwa kwenye viti maalum vya ubunge.
Mwaka 2010 kitila Mkumbo aliongoza timu ya kuandaa majina hayo na kilichotokea ni upendelea kwa watoto,ndugu,jamaa,wachumba na mahousegirl wa viongozi kupewa nyadhfa.
Mwaka huu kazi hii amepewa nani?
Mwaka 2010 kitila Mkumbo aliongoza timu ya kuandaa majina hayo na kilichotokea ni upendelea kwa watoto,ndugu,jamaa,wachumba na mahousegirl wa viongozi kupewa nyadhfa.
Mwaka huu kazi hii amepewa nani?