Majina yapo mengi, ila kwanini MTARO ulipewa jina la mtandao wetu pendwa.

Majina yapo mengi, ila kwanini MTARO ulipewa jina la mtandao wetu pendwa.

Fohadi

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2020
Posts
772
Reaction score
2,421
Ni jumanne nyingine, hali ya hewa ni rafiki na sio rafiki kwa namna moja ama nyingine. Inategemea na mtu na mtu.

Nimeona sio vibaya nikiuliza na kujifunza kutoka kwa wanaofahamu. Nina amini baadhi ya majina ya maeneo yaliwekwa kutokana na matukio au shughuli ambazo ziliwahi kutokea kwenye maeneo hayo kwa siku za nyuma.

Unakuta kuna eneo linaitwa USALAMA, DAMPO, MADUKA MAWILI n.k ni kutokana na sababu maalumu.

Leo naomba kufahamu, nini kilisababisha Njia ya mtaroni kupewa jina la mtandao wetu pendwa. Kwanini haikuwa jina jingine?

Na kabla ya mtandao wetu pendwa kuwa na jina hilo, zamani jina lipi lilitumika?
 
Watu(baharia) walikua wanataka lugha rahisi kwaio ilitokana na kupachikwa kwenye stori za baharia mfano(( "yule dada anatumia mitandao yote voda na Tigo))Kwaio kama ulijifunza fasihi hii ni kama misamiati japo sio rasmi sijui unanipata apo FOHADI?
 
Watu(baharia) walikua wanataka lugha rahisi kwaio ilitokana na kupachikwa kwenye stori za baharia mfano(( "yule dada anatumia mitandao yote voda na Tigo))Kwaio kama ulijifunza fasihi hii ni kama misamiati japo sio rasmi sijui unanipata apo FOHADI?
Nimekuelewa sana Mwalimu
 
Back
Top Bottom