Majina Yetu Ya KIBANTU!

Bazazi

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2008
Posts
2,806
Reaction score
3,485
Bandugu Jana na Leo nimekutana na majina matatu ya KIBANTU/KIAFRIKA ambayo kwa kweli yamenivutia sana. Naomba niwashirikishe kuyatambua na kuyajua majina hayo.

1. MAPENZI SUKARI (F)
2. PENDO SAFARI (F)
3. MAPENZI MIMBA (M)


Majina mawili ya kwanza ni ya waalimu wa shule za msingi na la mwisho nimekutana nalo mtaani tu.

Tafadhali kama kuna wengine wamekutana na majina ya KIBANTU yanayofutia kama hayo atujuzu na tujangie kama yanafaa katika jamii hasa kwa watoto wadogo kuyataja. Pia kwanini wazazi wao wakawapa majina hayo kama kuna mweenye fununu.

Nawasilisha,
Ndimi BAZAZI.
 
Topic safi sana, ila safari sio bantu orijino, ina harrufu ya kiarabu, ila pia ndugu na sisi wengine sio wabantu japo ni african 100 per cent
 
Topic safi sana, ila safari sio bantu orijino, ina harrufu ya kiarabu, ila pia ndugu na sisi wengine sio wabantu japo ni african 100 per cent

Nakubaliana nawe kaka. Nimejaribu kuingiza neno KIAFRIKA ili kukwepa ubaguzi ambao kwa kweli nilipitiwa tu.
 
wewe lako BAZAZI nani? lako pia yawezekana likaingia ktk orodha!
 
MKOLA nijina la bibiyangu mzaa baba na la babu yangu KALIMBA NWANANSHOKELA sijui ni kibantu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…