The Donchop
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 294
- 378
Sa hiv tuko maabala tunatengeneza majipu yenye gama rays so mwambie ajipange Na aitumie PhD yake Ili ahakikishe anayatumbua kwa usalama..!!Kuna daktari mwenye PhD ya chemistry yuko pale Magogoni, ni mtaalamu sana wa kuyatumbua.
Mkuu tujuze sababu n nini Ili wakat mwingne tuprotect...!!Dawa zipo za mitishamba asili nitafute kupitia https://jamii.app/JFUserGuide
Kitaalam hyo tunaita water therapyKunywa maji meng angalau kuanzia Lita tatu kwa siku! Utaona mabadiliko ndan ya siku kadhaa.
YahKitaalam hyo tunaita water therapy