luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
SITAPENDA KUANDIKA embu tupate taarifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
oh na bora ume underline kbs ...... KEBS wana lala sanaa ndio maana bidhaa za kenya zikifika mpaka wa namanga kuingia tz zina teketezwa hii sio mara ya kwanza kusikia vitu vibovu vinauzika sokoni huko kwa majirani zetu...last time nilisikia kuhusu mayai fake sijui sukari fake ....why you continue to tolerate stupid things while you can manage it ....these are just minor things to manage..come on kenyansthink I am a vegetarian
Unaongea kwa uchungu kwani ulikula nyama ya panya? Pole sanaAaaaaahhhh ndugu yangu ukienda nairobi,kaa mbali na nyama,unaweza kujikuta umekula nyama ya mbwa au paka...
Kuna jamaa pale Mathare alikuwa anapika samosa za nyama ya ngedere,mbwa,panya au nyau hata kunguru,yaani nyama itakayopatina kwa siku hiyo,ndo huwapikia wateja
Tahadhari
Usile nyama ukiwa nairobi!!😆😆
Dah!!Mungiki sio watu wazuri unaweza ukala 🐀🐀🐁🐁Unaongea kwa uchungu kwani ulikula nyama ya panya? Pole sana
Na nyie si ndio mnawachinja albinos kupata nyama za uchawi aise? Si huu ni unyama kwa binadamu mwenzako alafu unakuja hapa to lecture us?Aaaaaahhhh ndugu yangu ukienda nairobi,kaa mbali na nyama,unaweza kujikuta umekula nyama ya mbwa au paka...
Kuna jamaa pale Mathare alikuwa anapika samosa za nyama ya ngedere,mbwa,panya au nyau hata kunguru,yaani nyama itakayopatina kwa siku hiyo,ndo huwapikia wateja
Tahadhari
Usile nyama ukiwa nairobi!!😆😆
Na nyie si ndio mnawachinja albinos kupata nyama za uchawi aise? Si huu ni unyama kwa binadamu mwenzako alafu unakuja hapa to lecture us?
Ya binadamu ndiyo hatari zaidi. It's not even digested properly na inaweza kukuletea madhara mengi sanaYeye anaelezea nyama isiyo na ubora.
Wewe unaleta sijui issue gani!! Kama ni hivyo anzisha uzi.
Ya binadamu ndiyo hatari zaidi. It's not even digested properly na inaweza kukuletea madhara mengi sana
Si hatari kama kuishi KIBERA kibera is very very dangerous x10 shimo ya chewaYa binadamu ndiyo hatari zaidi. It's not even digested properly na inaweza kukuletea madhara mengi sana