Majizi yang’ara TAMISEMI ila tozo zitafidia

Majizi yang’ara TAMISEMI ila tozo zitafidia

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Naam It' another day another dollar kwa wapigaji wa jamhuri ya Tozonia, mambo ni bull bull sana,lete maneno dj kama kuna zilizopigwa tutafidia na za tozo bwana weeee, tozo oyeee
Gazeti la juni 2022 miezi miwili iliyopita wadanganyika washasahau kila kitu kimepita its business as usual majizi yanasikilizia deals nyingine tena


MAJIZI.JPG
 
Wacha waibe tu taifa lina mijitu heathen,waoga,mazuzu,nyumbu,walalamikaji, masikini wa mwili mpaka akili.

Wajanja kuleni pesa za wajinga mpaka akili ziwakae sawa watambue kupigania mali za umma.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
wnaa enjoy sana wanatawala manyumbu, ikifika uchafuzi anko mahela anafanya yake, wengine wanafoji signatures za vyama vyao wanatinga bungeni kuendelea kufaidi tozo za wanuka jasho wasio na akili
 
wnaa enjoy sana wanatawala manyumbu, ikifika uchafuzi anko mahela anafanya yake, wengine wanafoji signatures za vyama vyao wanatinga bungeni kuendelea kufaidi tozo za wanuka jasho wasio na akili
Na watu wakipiga kelele wafuasi wa chama Cha fisiemu huwa ona wapinga maendeleo na wanatumiwa na mabeberu Sasa sote wenye vyama na tusio na vyama tunaisoma namba vizuri kabisa taifa limejaa myopic citizens

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Naam It' another day another dollar kwa wapigaji wa jamhuri ya Tozonia, mambo ni bull bull sana,lete maneno dj kama kuna zilizopigwa tutafidia na za tozo bwana weeee, tozo oyeee
Gazeti la juni 2022 miezi miwili iliyopita wadanganyika washasahau kila kitu kimepita its business as usual majizi yanasikilizia deals nyingine tena


View attachment 2329216
Onyesha ylivyopigwa
 
Back
Top Bottom