Majizzo awashukia Machawa nchini

Majizzo awashukia Machawa nchini

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Mmiliki wa Efm Francis Ciza almaarufu "Majizzo", amewashukia Machawa wanaoishi kwa kutegemea kuwasifia watu wenye pesa mjini.

Kupitia mtandao wake Majizzo ameandika "Hapana, usiwe proud kuitwa ‘Chawa’. Labda kama kuna maana nyingine, lakini hii ya kwamba wewe ni mtu tegemezi na anayekula kwa kuwapa watu sifa za uongo, hapana. Naamini kwenye kuasaidiana, lazima tugawane hii riziki lakini sasa usichukulie kwamba wewe ndio chawa for life".

Screenshot_20240111-114856_1.jpg


Nini maoni yako?
 
Mmiliki wa Efm Francis Ciza almaarufu "Majizzo", amewashukia Machawa wanaoishi kwa kutegemea kuwasifia watu wenye pesa mjini.

Kupitia mtandao wake Majizzo ameandika "Hapana, usiwe proud kuitwa ‘Chawa’. Labda kama kuna maana nyingine, lakini hii ya kwamba wewe ni mtu tegemezi na anayekula kwa kuwapa watu sifa za uongo, hapana. Naamini kwenye kuasaidiana, lazima tugawane hii riziki lakini sasa usichukulie kwamba wewe ndio chawa for life".

View attachment 2868202

Nini maoni yako?
CC: Lucas mwashambwa
 
Back
Top Bottom