Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
South Africa Ukiongelea ukubwa wa Soka la Tanzania basi watasema @yangasc kwasababu walicheza na @sundownsfc , na ILe mechi ilikuwa na ushindani mkubwa kwahiyo wa south Africa walikuwa wanaiongelea sana yanga kuwa walinyimwa goli na wengine walisema Yanga walicheza vizuri Zaidi ya mamelodi" .
Mchezaji wa Chipa United @baraka_majogoro_15 akizungumza kwenye mahojiano na TV3.
#scopeboii #ScopeMedia
Mchezaji wa Chipa United @baraka_majogoro_15 akizungumza kwenye mahojiano na TV3.
#scopeboii #ScopeMedia