Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hahaaaaaaaaaaaa...Mimi napingana wazi wazi na huyo Baraka Majogoro! Yaani Yanga inaongelewa zaidi kuliko timu ya Simba iliyotaka kuuchoma moto uwanja wao kipindi kile, kwa sababu tu ya imani za kishirikina?
Au hao Wasauzi wana ugonjwa wa kusahau!
Na kukatwa rufaaSasa kwa madeni iliyonayo kwanini isizugumzwe?
Ha haaa watakuwa wanazinguaWatapinga basi hawa jamaaView attachment 3022791
Manotes ya sekondari sasaParticipatory observation where a researcher become a part of a selected population of the study
Kwamba hata Sope wenu (msemaji wa zamani) hapo Utopolo naye anapinga alichokisema Majogoro?Watapinga basi hawa jamaaView attachment 3022791