ebbyramadhani
Senior Member
- Jan 5, 2017
- 101
- 109
Hii ni Barabara ya Majohe wilaya ya Ilala kata ya Ukonga
Barabara iliharibika Sana baada ya mvua kubwa zile kunyesha mfululizo, Baada ya mvua kukata wakaleta vifusi ambavyo wamevipanga barabarani kutoka relini mpaka kituo kinaitwa Kwa mjeshi.
Baadilhi ya vifusi wamevisambaza na kuvishindilia, lakin kuanzia kituo cha Halisi mpaka Kwa mjeshi vifusi bado vipo wiki ya 3 sasa na ni changamoto mno Kwa watumiaji wa Barabara hiyo sababu gar zinapita Kwa tabu mpaka zisubiliane na kuna sehem gari haiwez kupita kabisa sababu pamechimbika Sana upande ambao hamna kifusi
Nauli zinakua juu na magar mengi hayamalizi luti.
Barabara iliharibika Sana baada ya mvua kubwa zile kunyesha mfululizo, Baada ya mvua kukata wakaleta vifusi ambavyo wamevipanga barabarani kutoka relini mpaka kituo kinaitwa Kwa mjeshi.
Baadilhi ya vifusi wamevisambaza na kuvishindilia, lakin kuanzia kituo cha Halisi mpaka Kwa mjeshi vifusi bado vipo wiki ya 3 sasa na ni changamoto mno Kwa watumiaji wa Barabara hiyo sababu gar zinapita Kwa tabu mpaka zisubiliane na kuna sehem gari haiwez kupita kabisa sababu pamechimbika Sana upande ambao hamna kifusi
Nauli zinakua juu na magar mengi hayamalizi luti.