Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 128,308 Reaction score 245,426 Oct 12, 2024 #221 Citizen B said: Mkuu wako wa majeshi mabeyo huwa anampigia salute DC Jokate mwegelo Click to expand... Weeeee!!!
Citizen B said: Mkuu wako wa majeshi mabeyo huwa anampigia salute DC Jokate mwegelo Click to expand... Weeeee!!!
Dr am 4 real PhD JF-Expert Member Joined Jun 30, 2016 Posts 11,640 Reaction score 24,066 Oct 12, 2024 #222 Mr_Teacher said: Habari wanabodi? naomba kupata uelewa kidogo, kwa nafasi kama ya Major General Mbuge kutoka kuwa Mkuu wa JKT na kwenda kuwa RC je hapo kapanda cheo ama kashuka? naomba uelewa wa kina juu ya hili tafadhali. Hongera kwake kwa uteuzi!! Click to expand... Nimepokea taarifa kua meja general mbuge amefariki dunia mapema leo asubuh.
Mr_Teacher said: Habari wanabodi? naomba kupata uelewa kidogo, kwa nafasi kama ya Major General Mbuge kutoka kuwa Mkuu wa JKT na kwenda kuwa RC je hapo kapanda cheo ama kashuka? naomba uelewa wa kina juu ya hili tafadhali. Hongera kwake kwa uteuzi!! Click to expand... Nimepokea taarifa kua meja general mbuge amefariki dunia mapema leo asubuh.
Djob Nkondo JF-Expert Member Joined Jan 25, 2015 Posts 265 Reaction score 203 Oct 12, 2024 #223 R.I.P Gen mbuge