Majukumu ya jaji

Majukumu ya jaji

Nino

Member
Joined
Jun 21, 2007
Posts
38
Reaction score
1
Habari zenu?
Mtu fulani alifungua kesi ya madai dhidi ya mtu mwingine.
Mdai alishindwa kutoa ushahidi wowote ingawa mdaiwa aliwaita mashahidi watano (wawili kutoka serikalini).
Mwishoni wasaidizi wa jaji walisema kwamba mdai hana haki yoyote, lakini jaji alisema kwamba ni kweli mdaiwa alinunua mali hayo lakini serikali alifanya kosa ndogo, yaani alitaja katika barua fulani kifungu kisichofaa, kwa hiyo mdaiwa analazimishwa kumpa mdai mali hiyo!
Tafadhali mnieleze je jaji anaweza kuamua kinyume cha wasaidizi wake wite?
 
Habari zenu?
Mtu fulani alifungua kesi ya madai dhidi ya mtu mwingine.
Mdai alishindwa kutoa ushahidi wowote ingawa mdaiwa aliwaita mashahidi watano (wawili kutoka serikalini).
Mwishoni wasaidizi wa jaji walisema kwamba mdai hana haki yoyote, lakini jaji alisema kwamba ni kweli mdaiwa alinunua mali hayo lakini serikali alifanya kosa ndogo, yaani alitaja katika barua fulani kifungu kisichofaa, kwa hiyo mdaiwa analazimishwa kumpa mdai mali hiyo!
Tafadhali mnieleze je jaji anaweza kuamua kinyume cha wasaidizi wake wite?
Judge is not bound by the opinion of assessors, but should give reason for dissenting/departure! Stanley Mitchell
 
Judge is not bound by the opinion of assessors, but should give reason for dissenting/departure! Stanley Mitchell
Lakini nilisoma kifungu fulani kinachosema kwamba korti lazima itoe hukumu kwa uwingi kwa hiyo kama wawili ni wingi zaidi na jaji.
 
Lakini nilisoma kifungu fulani kinachosema kwamba korti lazima itoe hukumu kwa uwingi kwa hiyo kama wawili ni wingi zaidi na jaji.
Kama kesi inasimaiwa na majaji peke yao, basi wingi wa majaji! Unachanganya vitu hapo. High court judge huwa ni mmoja (ukiacha kesi za kikatiba) na assesors 3.
WHAT ARE ASSESSORS AND WHY DO OUR COURTS HAVE THEM? (Role ya assessors ni sawa katika East Africa)

For criminal cases which have to be tried in the High Court, the law requires that assessors help or give "aid" to the Court.

The law requires that every criminal case to be tried in the High Court have at least 2 assessors.

WHAT AN ASSESSOR IS
An assessor is an ordinary person residing in the area of the Court, who is called upon to aid Court in a case. Assessors do not have special training or preparation for Court, they are merely informed of their roles by the Judge and given basic information into the offence the accused is indicted for and what the Prosecution must do to prove its case.

WHY DO WE HAVE ASSESSORS

When Uganda was a young Protectorate, the Judges and Judicial officers were not Ugandan, yet the had to deliver justice to Ugandans who had lived their lives based on the rules of Customs. These Judges did not know or understand these customs and so needed neutral persons to be able to explain to them the customs of the area and also, knowing the character of the people, the assessors could help advise the Judge on their opinion of the accused. Assessors need to be able to read and write in English because that is how they advise the Court.

WHAT DO ASSESSORS DO?

Today assessors help the Judge by giving their opinion on the case, whether they believe the prosecution has proven its case beyond reasonable doubt and also raise issues that they feel are important to the case. Assessors can give an opinion regarding whether or not they believe the accused is guilty given the evidence presented.

The opinion of the Assessors does not bind the Judge in any way and the Judge may depart from it, giving his or her reasons why.
 
Kama kesi inasimaiwa na majaji peke yao, basi wingi wa majaji! Unachanganya vitu hapo. High court judge huwa ni mmoja (ukiacha kesi za kikatiba) na assesors 3.
WHAT ARE ASSESSORS AND WHY DO OUR COURTS HAVE THEM? (Role ya assessors ni sawa katika East Africa)

For criminal cases which have to be tried in the High Court, the law requires that assessors help or give "aid" to the Court.

The law requires that every criminal case to be tried in the High Court have at least 2 assessors.

WHAT AN ASSESSOR IS
An assessor is an ordinary person residing in the area of the Court, who is called upon to aid Court in a case. Assessors do not have special training or preparation for Court, they are merely informed of their roles by the Judge and given basic information into the offence the accused is indicted for and what the Prosecution must do to prove its case.

WHY DO WE HAVE ASSESSORS

When Uganda was a young Protectorate, the Judges and Judicial officers were not Ugandan, yet the had to deliver justice to Ugandans who had lived their lives based on the rules of Customs. These Judges did not know or understand these customs and so needed neutral persons to be able to explain to them the customs of the area and also, knowing the character of the people, the assessors could help advise the Judge on their opinion of the accused. Assessors need to be able to read and write in English because that is how they advise the Court.

WHAT DO ASSESSORS DO?

Today assessors help the Judge by giving their opinion on the case, whether they believe the prosecution has proven its case beyond reasonable doubt and also raise issues that they feel are important to the case. Assessors can give an opinion regarding whether or not they believe the accused is guilty given the evidence presented.

The opinion of the Assessors does not bind the Judge in any way and the Judge may depart from it, giving his or her reasons why.
That seems to me reasonable even if my lawyer insists on his opinion! 😠 Just another doubt, I don't if it is valid only fo High Court or for any type of court.
Thank you for your very kind help.
 
Ila ninachoamini bila vielelezo shauri hilo lisingeingia kwenye trial. Yawezekana vielelezo vilivyowasilishwa na Mdai kabla ya kesi kuanza kusikilizwa vilimsaidia Judge.

Mdaiwa licha ya kuleta mashahidi, pengine hakutoa hoja za kutosha ku-invalidate vielezo vya mdai hata km hakuwa na mashahidi.
 
Kama kesi inasimaiwa na majaji peke yao, basi wingi wa majaji! Unachanganya vitu hapo. High court judge huwa ni mmoja (ukiacha kesi za kikatiba) na assesors 3.
WHAT ARE ASSESSORS AND WHY DO OUR COURTS HAVE THEM? (Role ya assessors ni sawa katika East Africa)

For criminal cases which have to be tried in the High Court, the law requires that assessors help or give "aid" to the Court.

The law requires that every criminal case to be tried in the High Court have at least 2 assessors.

WHAT AN ASSESSOR IS
An assessor is an ordinary person residing in the area of the Court, who is called upon to aid Court in a case. Assessors do not have special training or preparation for Court, they are merely informed of their roles by the Judge and given basic information into the offence the accused is indicted for and what the Prosecution must do to prove its case.

WHY DO WE HAVE ASSESSORS

When Uganda was a young Protectorate, the Judges and Judicial officers were not Ugandan, yet the had to deliver justice to Ugandans who had lived their lives based on the rules of Customs. These Judges did not know or understand these customs and so needed neutral persons to be able to explain to them the customs of the area and also, knowing the character of the people, the assessors could help advise the Judge on their opinion of the accused. Assessors need to be able to read and write in English because that is how they advise the Court.

WHAT DO ASSESSORS DO?

Today assessors help the Judge by giving their opinion on the case, whether they believe the prosecution has proven its case beyond reasonable doubt and also raise issues that they feel are important to the case. Assessors can give an opinion regarding whether or not they believe the accused is guilty given the evidence presented.

The opinion of the Assessors does not bind the Judge in any way and the Judge may depart from it, giving his or her reasons why.

Naona umempatia majibu kwa kuangalia lisemwalo kwenye internet zadi kushinda sheria, japo hujakosea sana ila lwa vile ameuliza swali la kisheria ngoja tumpatie majibu ya kisheria.

Kimsingi sheria ya muenendo wa makosa ya jinai(sura ya 20) inatamka wazi kabisa majukumu ya wazee wa baraza kwenye kifungu cha 265 inasema "Usikilizaji wa kesi mbele ya Mahakama Kuu utafanyika kwa kusaidiana na wazee wa baraza ambapo idadi yao itakuwa wawili au zaidi kama mahakama itakavyoona inafaa "

Kifungu cha 298 cha sheria tajwa hapo juu ndio kina jibu swali lako, kifungu hiko kimetaja kwenye kifungu kidogo cha (1) kwamba " Wakati kesi kwa pande zote imefungwa, jaji atatoa majumuisho ya ushahidi wa upande wa mashtaka na upande wa utetezi na atamtaka kila mzee wa baraza kutoa maoni yake kwa mdomo katika ujumla wake wa kesi na kwa kila suala mahususi aliloambiwa na jaji, na ataandika maoni hayo" kinaenda mbaili na kutaja kwenye kifungu kidogo cha (2) kwamba "Jaji atatoa uamuzi, lakini katika kufanya hivyo hatalazimika kufuata maoni ya wazee wa baraza ".

kwa maana nyingine wazee wa baraza wanaishia kutoa maoni tuu na jaji hafungwi mikono yake na maoni ya hao wazee, vilevile hata watalaam wanaokuja kutoa ushahidi mahakamani ushahidi huo haumfungi mikono jaji kwenye kutoa maamuzi.
 
Naona umempatia majibu kwa kuangalia lisemwalo kwenye internet zadi kushinda sheria, japo hujakosea sana ila lwa vile ameuliza swali la kisheria ngoja tumpatie majibu ya kisheria.

Kimsingi sheria ya muenendo wa makosa ya jinai(sura ya 20) inatamka wazi kabisa majukumu ya wazee wa baraza kwenye kifungu cha 265 inasema "Usikilizaji wa kesi mbele ya Mahakama Kuu utafanyika kwa kusaidiana na wazee wa baraza ambapo idadi yao itakuwa wawili au zaidi kama mahakama itakavyoona inafaa "

Kifungu cha 298 cha sheria tajwa hapo juu ndio kina jibu swali lako, kifungu hiko kimetaja kwenye kifungu kidogo cha (1) kwamba " Wakati kesi kwa pande zote imefungwa, jaji atatoa majumuisho ya ushahidi wa upande wa mashtaka na upande wa utetezi na atamtaka kila mzee wa baraza kutoa maoni yake kwa mdomo katika ujumla wake wa kesi na kwa kila suala mahususi aliloambiwa na jaji, na ataandika maoni hayo" kinaenda mbaili na kutaja kwenye kifungu kidogo cha (2) kwamba "Jaji atatoa uamuzi, lakini katika kufanya hivyo hatalazimika kufuata maoni ya wazee wa baraza ".

kwa maana nyingine wazee wa baraza wanaishia kutoa maoni tuu na jaji hafungwi mikono yake na maoni ya hao wazee, vilevile hata watalaam wanaokuja kutoa ushahidi mahakamani ushahidi huo haumfungi mikono jaji kwenye kutoa maamuzi.
Naona umempatia majibu kwa kuangalia lisemwalo kwenye internet zadi kushinda sheria, japo hujakosea sana ila lwa vile ameuliza swali la kisheria ngoja tumpatie majibu ya kisheria.

Kimsingi sheria ya muenendo wa makosa ya jinai(sura ya 20) inatamka wazi kabisa majukumu ya wazee wa baraza kwenye kifungu cha 265 inasema "Usikilizaji wa kesi mbele ya Mahakama Kuu utafanyika kwa kusaidiana na wazee wa baraza ambapo idadi yao itakuwa wawili au zaidi kama mahakama itakavyoona inafaa "

Kifungu cha 298 cha sheria tajwa hapo juu ndio kina jibu swali lako, kifungu hiko kimetaja kwenye kifungu kidogo cha (1) kwamba " Wakati kesi kwa pande zote imefungwa, jaji atatoa majumuisho ya ushahidi wa upande wa mashtaka na upande wa utetezi na atamtaka kila mzee wa baraza kutoa maoni yake kwa mdomo katika ujumla wake wa kesi na kwa kila suala mahususi aliloambiwa na jaji, na ataandika maoni hayo" kinaenda mbaili na kutaja kwenye kifungu kidogo cha (2) kwamba "Jaji atatoa uamuzi, lakini katika kufanya hivyo hatalazimika kufuata maoni ya wazee wa baraza ".

kwa maana nyingine wazee wa baraza wanaishia kutoa maoni tuu na jaji hafungwi mikono yake na maoni ya hao wazee, vilevile hata watalaam wanaokuja kutoa ushahidi mahakamani ushahidi huo haumfungi mikono jaji kwenye kutoa maamuzi.
asante, nadhani kama ulivyosema niko sawa, ila sija quote vifungu vya mamlaka! asante sana. Normally watu huwa hawataji vifungu katika makala mbali mabli, na hili ni tatizo sana kwa wanasheria.
 
Back
Top Bottom