Majukumu ya Kafulila ni kumsaidia Mwigulu Nchemba

Majukumu ya Kafulila ni kumsaidia Mwigulu Nchemba

UGANDA

Member
Joined
Jul 24, 2017
Posts
71
Reaction score
75
David Kafulila ameteuliwa Kuwa Kamishna Idara ya Ubia kati ya sekta ya Umma na sekta Binafsi ambayo ni miongoni mwa Idara za Wizara ya Fedha na Mipango.

Majukumu ya Idara ya PPP:

1. Kusimamia, kuchambua na kuzishauri Mamlaka za Serikali katika uanzishwaji, uchambuzi na utekelezaji wa miradi ya PPP kulingana na Sheria ya PPP Sura 103;

2. Kuratibu maandalizi na mapitio ya Sera, Sheria, Mikataba na Miongozo ya utekelezaji wa PPP.

3. Kuchambua masuala ya kifedha kwenye miradi ya PPP inayohitaji fedha, msaada wa Serikali au masuala yoyote ya kisera;

4. Kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa vihatarishi na masuala mengine ya kifedha katika utekelezaji wa miradi ya PPP

5. Kuandaa kanuni kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Ubia kwa mujibu wa Sheria ya PPP;

6. Kuandaa Mfumo wa ufuatiliaji na tathmini katika miradi ya PPP

7. Kuratibu ufuatiliaji na tathmini ya miradi inayotekelezwa na Mamlaka za Serikali kwa utaratibu wa PPP; na

8. Kuandaa na kutekeleza programu ya kujenga uwezo wa PPP.
 
David Kafulila ameteuliwa Kuwa Kamishna Idara ya Ubia kati ya sekta ya Umma na sekta Binafsi ambayo ni miongoni mwa Idara za Wizara ya Fedha na Mipango.

Majukumu ya Idara ya PPP:

1. Kusimamia, kuchambua na kuzishauri Mamlaka za Serikali katika uanzishwaji, uchambuzi na utekelezaji wa miradi ya PPP kulingana na Sheria ya PPP Sura 103;

2. Kuratibu maandalizi na mapitio ya Sera, Sheria, Mikataba na Miongozo ya utekelezaji wa PPP.

3. Kuchambua masuala ya kifedha kwenye miradi ya PPP inayohitaji fedha, msaada wa Serikali au masuala yoyote ya kisera;

4. Kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa vihatarishi na masuala mengine ya kifedha katika utekelezaji wa miradi ya PPP

5. Kuandaa kanuni kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Ubia kwa mujibu wa Sheria ya PPP;

6. Kuandaa Mfumo wa ufuatiliaji na tathmini katika miradi ya PPP

7. Kuratibu ufuatiliaji na tathmini ya miradi inayotekelezwa na Mamlaka za Serikali kwa utaratibu wa PPP; na

8. Kuandaa na kutekeleza programu ya kujenga uwezo wa PPP.
Sasa tumbili huu msitu atauweza?
 
Kamishna ni ofisi na kuna washauri hivo ataweza tu hakuna tatizo
 
David Kafulila ameteuliwa Kuwa Kamishna Idara ya Ubia kati ya sekta ya Umma na sekta Binafsi ambayo ni miongoni mwa Idara za Wizara ya Fedha na Mipango.

Majukumu ya Idara ya PPP:

1. Kusimamia, kuchambua na kuzishauri Mamlaka za Serikali katika uanzishwaji, uchambuzi na utekelezaji wa miradi ya PPP kulingana na Sheria ya PPP Sura 103;

2. Kuratibu maandalizi na mapitio ya Sera, Sheria, Mikataba na Miongozo ya utekelezaji wa PPP.

3. Kuchambua masuala ya kifedha kwenye miradi ya PPP inayohitaji fedha, msaada wa Serikali au masuala yoyote ya kisera;

4. Kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa vihatarishi na masuala mengine ya kifedha katika utekelezaji wa miradi ya PPP

5. Kuandaa kanuni kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Ubia kwa mujibu wa Sheria ya PPP;

6. Kuandaa Mfumo wa ufuatiliaji na tathmini katika miradi ya PPP

7. Kuratibu ufuatiliaji na tathmini ya miradi inayotekelezwa na Mamlaka za Serikali kwa utaratibu wa PPP; na

8. Kuandaa na kutekeleza programu ya kujenga uwezo wa PPP.
Ataiweza iyo kazi mtu mwenyewe kashaonyesha ana njaa na hawezi kuvumilia kuishi bila teuzi halafu anapewa nafasi nyeti kama hiyo
 
Mtoa mada siye wengine tupo Nainokwe huku, karibu na Nanjilinji, 'miradi ya PPP' ndo nini?!!!!
 
David Kafulila ameteuliwa Kuwa Kamishna Idara ya Ubia kati ya sekta ya Umma na sekta Binafsi ambayo ni miongoni mwa Idara za Wizara ya Fedha na Mipango.

Majukumu ya Idara ya PPP:

1. Kusimamia, kuchambua na kuzishauri Mamlaka za Serikali katika uanzishwaji, uchambuzi na utekelezaji wa miradi ya PPP kulingana na Sheria ya PPP Sura 103;

2. Kuratibu maandalizi na mapitio ya Sera, Sheria, Mikataba na Miongozo ya utekelezaji wa PPP.

3. Kuchambua masuala ya kifedha kwenye miradi ya PPP inayohitaji fedha, msaada wa Serikali au masuala yoyote ya kisera;

4. Kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa vihatarishi na masuala mengine ya kifedha katika utekelezaji wa miradi ya PPP

5. Kuandaa kanuni kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Ubia kwa mujibu wa Sheria ya PPP;

6. Kuandaa Mfumo wa ufuatiliaji na tathmini katika miradi ya PPP

7. Kuratibu ufuatiliaji na tathmini ya miradi inayotekelezwa na Mamlaka za Serikali kwa utaratibu wa PPP; na

8. Kuandaa na kutekeleza programu ya kujenga uwezo wa PPP.
Hii Idara inataka professional ambaye amefanya kazi serikalini au sekta binafsi kwa muda mrefu na ana uelewa mpana wa mambo ya Biashara.Sasa huyu Bwana Tumbili ana uzoefu gani na mambo ya Biashara[emoji1787].Si ampe ata ubalozi wa Burundi akakae na ndugu zake uko.Hii nchi hatupo serious na masuala ya msingi!
Leo nilikuwa napitia Document moja ya deals za U.S-Africa summit,aisee kuna fursa kibao mule,sasa kupata deals kama zile,uyu Tumbili anaweza nini!!!
Huyu Bibi wamrudishe Zanzibar tu akalee wajukuu wake,dah!!!
 
Back
Top Bottom