Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Katibu Mkuu atakuwa na kazi ya;
1. Kuandaa uchaguzi wa ndani unaotarajika kufanyika 2022:kuchagua viongozi katika ngazi zote;matawi,kata,wilaya,mkoa na Taifa.
2. Pia atakuwa na jukumu la kusimamia rasilimali za Chama.
3. Atakuwa na kazi ya kudhibiti makundi ndani ya Chama yanayojitokeza wakati wa Uchaguzi.
4. Kudhibiti makundi ndani ya Chama yanayotokea wakati hakuna Uchaguzi.
5. Kuangalia maslahi ya wafanyakazi.
6. Kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi.
1. Kuandaa uchaguzi wa ndani unaotarajika kufanyika 2022:kuchagua viongozi katika ngazi zote;matawi,kata,wilaya,mkoa na Taifa.
2. Pia atakuwa na jukumu la kusimamia rasilimali za Chama.
3. Atakuwa na kazi ya kudhibiti makundi ndani ya Chama yanayojitokeza wakati wa Uchaguzi.
4. Kudhibiti makundi ndani ya Chama yanayotokea wakati hakuna Uchaguzi.
5. Kuangalia maslahi ya wafanyakazi.
6. Kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi.