Majukumu ya kile kinachoitwa wage board

Majukumu ya kile kinachoitwa wage board

kamkoda

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2012
Posts
396
Reaction score
71
Wadau!

Katika miaka ya hivi karibuni ilianzishwa bodi kwa ajili ya kuangalia mishahara sekta mbalimbali hapa nchini na kazi yao ya kwanza ilikuwa mwaka 2010. Tokea kipindi hicho mpaka leo mbali na mfumuko wa bei kuwa katika asilimia kubwa sana wamekaa kimya mno, hivi bodi hii ipo? ama ndio yale yale...!
 
Back
Top Bottom