Majukumu ya Makamu wa Rais ni yapi?

Ni cheo ceremonial Zaidi, na wakati mwingine ni sub wa rais aliye madarakani iwapo atafariki.
 
We jamaa kuna jambo unalifahamu halafu wazunguka mbuyu....mtu mzima vipi?
 
Waziri Mkuu kisha sema kuwa Makamu yuko nje kikazi ...... sasa sijui kama naye atarudi. Maza kishatangaza yuko njiani.
 

Umeuliza maswali ya msingi mkuu. Ngoja chawa waje bila majibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…