Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kwa siku za karibuni Kocha Ndayiragije amekuwa kaimu kocha mkuu wa Taifa Stars huku pia akiwa kocha mkuu wa Azam Fc.
Kwasasa kila wikiendi kocha Ndayiragije amekuwa na mechi ya kimataifa, aidha iwe kwenye klabu yake ya Azam Fc ama timu ya Taifa ya Tanzania.
Mfano, Taifa Stars alicheza na Burundi, wiki iliyofuata Azam Fc akacheza mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika, Wikiendi hii Stars wanacheza na Burundi, Wikiendi ijayo Azam Fc yuko kibaruani Shirikisho Afrika, na wiki inayofuata tena Stars anaenda Sudan kwenye mechi ya marudiano.
Mechi zote hizo zinamuhusu kocha Ndayiragije, hii imemfanya Kocha huyu kuzidiwa na majukumu ashindwe kujua lipi la kufanya. Ni wakati sahihi sasa, wa kushika kibarua kimoja tu. Maana wahenga waliwahi kusema mshika mawili moja humponyoka.
Mimi naona angebaki na Azam Fc yake tu.
Kwasasa kila wikiendi kocha Ndayiragije amekuwa na mechi ya kimataifa, aidha iwe kwenye klabu yake ya Azam Fc ama timu ya Taifa ya Tanzania.
Mfano, Taifa Stars alicheza na Burundi, wiki iliyofuata Azam Fc akacheza mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika, Wikiendi hii Stars wanacheza na Burundi, Wikiendi ijayo Azam Fc yuko kibaruani Shirikisho Afrika, na wiki inayofuata tena Stars anaenda Sudan kwenye mechi ya marudiano.
Mechi zote hizo zinamuhusu kocha Ndayiragije, hii imemfanya Kocha huyu kuzidiwa na majukumu ashindwe kujua lipi la kufanya. Ni wakati sahihi sasa, wa kushika kibarua kimoja tu. Maana wahenga waliwahi kusema mshika mawili moja humponyoka.
Mimi naona angebaki na Azam Fc yake tu.