amakyasya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 3,480
- 914
Wana jf;
Kuanzia hapo awali wakati wa mchakato wa katiba mpya kuna watu au makundi ya watu ambao walionyesha wazi kabisa kuwa hawakubaliani au hawapendezwi na uundwaji wa katiba mpya na katika vipengele vikuu ambavyo kwao ni kama sumu kwa maslahi yao ni Muundo wa Muungano wa serikali tatu, madaraka ya rais kupunguzwa, wabunge kutokuwa mawaziri, uteuzi wa spika na mengineyo.
Maadui hao tuwaweke hapa hadharani ili tuwaangalie kwa makini:
Mi naanza na wa kwanza SELINA KOMBANI huyu alisema kuipata katiba mpya ni gharama.
Kuanzia hapo awali wakati wa mchakato wa katiba mpya kuna watu au makundi ya watu ambao walionyesha wazi kabisa kuwa hawakubaliani au hawapendezwi na uundwaji wa katiba mpya na katika vipengele vikuu ambavyo kwao ni kama sumu kwa maslahi yao ni Muundo wa Muungano wa serikali tatu, madaraka ya rais kupunguzwa, wabunge kutokuwa mawaziri, uteuzi wa spika na mengineyo.
Maadui hao tuwaweke hapa hadharani ili tuwaangalie kwa makini:
Mi naanza na wa kwanza SELINA KOMBANI huyu alisema kuipata katiba mpya ni gharama.