Crystal field theory
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 940
- 401
Kuishi na msaliti Bora uishi na mzinga wa nyuki getoTupe ufafanuzi kwanza, umetoswa au ummetosa huyo mchepuko?
Na vipi ndoani kule kunarudika?
Baadae wanaomba kurudiana nako unakuta mtu alishanza maisha na mwingine ni pigoNa majuto huwa Ni makubwa Sana especially kwa upande wa mwanamke.
Mchepuko akishamchoka anamtema mazima
😂Kuishi na msaliti Bora uishi na mzinga wa nyuki geto