Majuto ya P Funk Majani yanatufundisha nini Vijana ambao hatujaoa?


Exceptionalism unaijua Mkuu

Hiyo nimeshaeleza ni moja kwa kumi
 
Mbona yeye aanavuta bangi angekua na mtoto wa kiume angekua bangi mtu angelaumiwa nani, yeye aliamua kuzaa na malaya kwaajili ya bangi zake sasa analaumu nini, alichopanda ndio kavuna, Baba bangi mama malaya unategemea avune Saint.
 
Mtu anapokatazwa jambo Fulani akiwa mtoto basi Tabia hiyo haifi isipokuwa inajificha kwenye ung’ amuzi bwete na siku akikua akapata uhuru Tabia hiyo hujitokeza
Ndio maana tabia nyingi za watu huanza kuonekana chuoni mwaka wa kwanza. Sasa ninakuelewa mkuu
 
Maisha ya Instagram. Mwanamke kamwe hawezi kuwa na busara. Ni wachache sana. Tena sana. 0.1% kati ya mia. Huyo sijui Kajala she's just a whore or a ho. Aina yake ni hatari katika jamii na wametungiwa mashairi na kila multiplatinum selling rapper kule Marekani.
 
Unaweza otea mzuri mtulivu. Changamoto itakuwa wadau kumfuata fuata. Akiwa mzuri wadau lazima wamzingire. Hapo sasa ni uwezo wake wa kukataa au mazingira aliyomo

Wanawake wabaya kwa muonekano hufuatwa kidogo na wanaume na hivyo uwezekano wa kugongwa ni mdogo.

Ila wapo wale wanaojitongozesha. Sasa hapo inategemeana kama ni pisi kali au si kali. Ikiwa kali mafisi hupita nae hivi
 
Mungu hukupa wa kufanana na wewe
 

Umalaya ni Tabia ya ndani kabisa

Anaweza kuwa sura ya Komodo na Tabia ikawa mbovu

CV ni muhimu zaidi
 
Nimesoma paragraph ya kwanza tu, ila Maisha hayana formula, turudie mara ngapi?

Maisha yana fomula mkuu

Maisha hayana fomula ukienda kinyume na nature

Watu tungefuata asili zetu wala yasingetokea mapicha picha

Mtu ni mfupi anataka mambo ya warefu
Mtu ni muafrika anataka ya wazungu

Kisayansi na kiimani Maisha yanafomula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…