Majuto ya P Funk Majani yanatufundisha nini Vijana ambao hatujaoa?

[emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa tunafanyaje kama wajomba zake Paula
Mkuu mtoto unavyomlea ndivyo anavyokuwa
Mtoto ataiga eidha tabia za mama au baba
Ila inavyonekana mtoto huyu alikaa sana na mama na maisha ya mama kama unavyojua tena!
Na kwa mama aina hii wao wakiwa na binti wakimuona mrembo na wanaume wanamvizia au kumtaka wamama kama hawa wanaona kama ufahari,kikubwa aone mtoto wake anapata pesa,kapewa gari,mavazi,bata basi
Binafsi mm nawajua wamama wa aina hii ya mjinimjini kama 50 akili zao wanazijua wenyewe,hawaangali mbali wao wanangalia karibu

Ova
 

Hatari sana mkuu
 
kutoka kwa dizasta

A ngalia rafiki zangu, kisha ringanisha na rafiki zako hasa ambao wanamzungukka binti yangu.../

Hua nawaza wanachomfundisha ni nini, zaidi ya umbea kunywa pombe na kupiga vimini.../

Mama hao rafiki zako washaoza, hakuna mwenye afahali hata mmoja.../

Wanapenda sana maisha ghali, nilikupa taadhari ukae mbali hukukubali.../

Yule mrefu alishawahi kunitongoza anajua nimekuoa nimefunga mageti yangu, nisingemkubali hata angenikuta enzi zangu.../

Ananishika kila akinikuta peke yangu, anasema umemwambia kuhusu ukubwa wa nyeti zangu../

Aasa ndo nini?
 
kutoka kwa dizasta

A ngalia rafiki zangu, kisha ringanisha na rafiki zako hasa ambao wanamzungukka binti yangu.../

Hua nawaza wanachomfundisha ni nini, zaidi ya umbea kunywa pombe na kupiga vimini.../

Mama hao rafiki zako washaoza, hakuna mwenye afahali hata mmoja.../

Wanapenda sana maisha ghali, nilikupa taadhari ukae mbali hukukubali.../

Yule mrefu alishawahi kunitongoza anajua nimekuoa nimefunga mageti yangu, nisingemkubali hata angenikuta enzi zangu.../

Ananishika kila akinikuta peke yangu, anasema umemwambia kuhusu ukubwa wa nyeti zangu../

Aasa ndo nini?
 
Kuna Rais mmoja wa Marekani, anaweza kuwa ni Lincoln, alipata kusema kwamba, "If you want to test a man's character, just give him power"

Ipo hivyo

Ndio maana dhambi zote ni sawa au wema wowote ni sawa kwani watu hufanya kwa nafasi walizonazo ila ID/ nafsi zao zinafanana ila uwezo wa kicheo, kimamlaka, kiuchumi ndio tofauti
 
Stunt
 

Hizi Stanza sikuwahi kuzisikia Mkuu
 
Ni ujinga wa pfunk majani mwenyewe,na wala asilaumu mtu
 
Mkuu, basi ndio maana baadhi ya taasisi nyeti huangali tabia za watu miaka hata 10 nyuma kabla ya kumpa ajira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…