Majuto ya P Funk Majani yanatufundisha nini Vijana ambao hatujaoa?

Ni kweli, ni ngumu kumbadilisha mtu.

Kujibadilisha tuu kasheshe

Kuna wakati nilitaka niwe mtu wa mazoeziπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Basi nikaanza mazoezi sikufikisha hata wiki nikashindwa

Au kuna vijitabia mtu unakuwa navyo unahangaika kuviacha wewe binafsi kwa hiyari yako lakini bado unashindwa

Sembuse kumbadilisha mtu mwingine
 
Ujinga ni sehemu ya kazi ya Mungu aliyoiacha kwa viumbe wake, wanahiyari ya kuchagua ujinga au werevu
Sehemu ya kazi ya Mungu ni ujinga? Kwa nini Mungu afanye kazi yake iwe ujinga?

Kwa nini hakufanya kazi iliyojaa werevu wa kutukuka bila hata harufu ya ujinga?
 
Sema mwandishi umetufunga kamba eti mtoto wa kike anachukua tabia za mama yake asilimia 90 ...
 
Ni unconscious behaviour huwezi jua ila unaogopa wanawake wazuri ji-google vizuri type ya madem zako utaona jinsi usivyojiamini
Kama wewe unaona kuwa mimi sijiamini basi sawa ila ninaomba kurudia tena na tena kuwa SIPENDI DHARAU ZA MTOTO WA KIKE.
 
eti kajala anakakuwadia katoto ka kuzaa yeye mwenyewe!!
 
Ninachoamini P funk anamchango wa kutosha kumuharibu huyo mtoto ukiangalia life style yao wakiwa pamoja huko nyuma
 
Uko sahihi lakini kwa namna moja ama nyingine huna tofauti na motivational speakers ambao wanahimiza watu kujiajiri bila kuwapa njia za kujiajiri..

ilipaswa uje na mechanisms unazotumia kuwachunguza wakwe zako kabla hujaanzisha uhusiano na mwenza wako. Weka procedures hapa kuwa 1 2 3 au kama mkwe ametangulia mbele ya haki ukitaka kumchunguza nenda kaburini kwake fanya 123...

kwenye biashara wanasema idea ya biashara nzuri lazima iwe SMART...specific, measurable..Achievable...Realistic...Timely...

Je hoja yako ni SMART?, If YES, what are the procedures..tiririka mkuu acha fasihi kwenye mahusiano.
 
Kitini kimeeleweka! Ila too late!

Nyege nazo zinatiaga upofu! Nyege zikikolea hayo majuto huja baadaye!!

Cha msingi nikuomba Mungu! Lakini kwa akili zetu Hatuwezi tunadanganyana!
Daaaaah hili swala LA kitini au pamphlet linankumbusha mbali enz izo nko olevel bas ukiwa na vitin vitatu tyuu unaonekana mpenda shule
 
Tusema hata Paula sio sahh kuzaa nae?
 
Ujinga ni sehemu ya kazi ya Mungu aliyoiacha kwa viumbe wake, wanahiyari ya kuchagua ujinga au werevu
Mkuu, unaruhusiwa kuamini unachotaka, kama sehemu ya haki yako ya kiutu na ya kuabudu.

Na mimi nitaitetea haki yako hii.

Lakini, kimantiki, kuamini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, anayeumba ulimwengu unaoweza kuwa na ujinga, nao ni ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…