Makabati ya duka la dawa yanahitajika

Makabati ya duka la dawa yanahitajika

AZUSA STREET

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2013
Posts
2,007
Reaction score
1,897
nahitaji mtu anayejua kutengeneza makabati ya maduka ya dawa yanayohamishika, sijapena kununua yale ya kichina, nataka ya mbao za kibongo. nilisikia prison/magereza, au veta. mwenye ujuzi naomba anijuze. yawe ya kibongo lakini yawe mazuri kama ya kichina kwa sura. asanteni.
 
Back
Top Bottom