Makabila kumi yenye wanawake wazuri sana Tanzania

tafiti hewa wanyaturu wanafanana na wanyiramba ,wanyiramba hata kwenye top 30 hawapo
 
Twaweza wanasemaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Takwimu FAKE MKUU,,,,msichana yeyote mzuri anafata kwa WAZAZI WAKE...kama MMEOANA MAGARI YA JESHI MATUPU,,,unazani mtoto atatoka na SURA YA BEYONCE?hakuna KABILA LENYE WANAWAKE WAZURI,,,zaidi ya kufanya uchaguzi sahihi ktk kuchaguwa mwenza,,ili upate watoto wazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waarusha,Wachagga,Na Wasukuma mbona sijawaona kwenye list??Alaf weka picha
tuone
 
Hiyo list bado kabisa mkuu...list hakuna wachaga bado sana..alafu kuna makabila umeeka apo hayastahili kuwepo..kama uzuri unaangalia rangi sawa.. Ila kama unaanglia sector zote mchaga yupo top 3...
 
Waarusha,Wachagga,Na Wasukuma mbona sijawaona kwenye list??Alaf weka picha
tuone
Utafiti wake bado sana..unamwacha mchaga,msukuma..kuna kit tena apo...et mnyaturu...?!!ni rangi au wat about sehemu nyngne??ili mtu awe mzuri awe vip akidh vigezo...yeye kaona weupe wanyaturu anasena noumaa 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…