Wapare ni wapare na wachaga ni wachaga..they are 2 different things... Ndo maana kuna same na Kilimanjaro
Makengeza ya hali ya juuYani umeweka makabila yote mabovu wanyakyusa warembo, shomile eti wapare, ur not serious utafiti wako una makengeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru Mkuu!
Ninakuelewa mkuu, niliwahi kutoka na mmoja wapo, na wengi wao ninaowajua they are a really thing!Kama wanawake wa kikurya hawapo hapo basi hiyo list yako sio valid
Sent using Jamii Forums mobile app
Lete picha tumuone. Sio unatuletea maneno tuMke wangu mnyakyusa miksa mgogo hatar sana toto la kinyakyusa hili black beauty @no 10
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hojaNamba 10 nakupinga kwa 100%
[emoji375][emoji375]
Sababu ipi imesababisha Warangi uwaweke namba 2 badala ya namba 1?