Makabila Tajiri Zaidi Afrika

Makabila Tajiri Zaidi Afrika

instagram

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,118
Reaction score
4,863
Kwa mujibu wa utafiti wa iconic world Tanzania hakuna kabila kwenye top 10 ya Africa.
IMG_20221015_183700.jpg
 
Mchagga au mkinga anakosaje?!
Mnaelewa maana ya utajiri kweli? Wachaga wana utajiri gani, wana mali gani? Maduka mjini? Maduka ni utajiri? Matajiri wa kweli wanamiliki ardhi kubwa, mifugo wengi, wana viwanda. sasa wachaga ukiona yale makampuni machache ya mabasi ya mikopo ndiyo utajiri. Hamko serious. Wachaga wanapenda show off, (maonesho) ambayo siyo sifa ya utajiri bali sifa ya umaskini.
 
Mnaelewa maana ya utajiri kweli? Wachaga wana utajiri gani, wana mali gani? Maduka mjini? Maduka ni utajiri? Matajiri wa kweli wanamiliki ardhi kubwa, mifugo wengi, wana viwanda. sasa wachaga ukiona yale makampuni machache ya mabasi ya mikopo ndiyo utajiri. Hamko serious. Wachaga wanapenda show off, (maonesho) ambayo siyo sifa ya utajiri bali sifa ya umaskini.
Wachaga hawana viwanda?
 
Back
Top Bottom