Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao


Watakuwa na uhusiano wakaribu na Wakurya!Mimi nimechanganya toka Meru na Machame!
 
Nimejikuta napenda sana kimeru yaan sana tu atakayeweza kunifunza kimeru awe anachat na mim kwa msg kimeru 2 ningefrah
 
Hao walikuwa wachaga, ila walivyoanza ishu zao za kuchoma makanisa ,wakawatenga kwa hiyo wale ni wamasai flan hiv na wanahasira hao usije wazengua wakiwa na kisu krb, kiandu kitakuusu.
 
teh teh sijui watu wanadaiwa magauni ya krismas hawajapata namna mpaka saa hizi! hizi hasira siyo za kawaida
 
Wana roho mbaya, ni watu wa visasi, chuki , fitina nk Ukiwa kazini akawa subordinate wako jiandae na hujuma lazima ushushwe. Generally speaking kaa nao chonjo. Watu watajibu kwa mihemuko lakini ndo ukweli na log off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…