Makabila yapi Tanzania hii yanaongoza kwa roho mbaya na ukatil[killing ]

Status
Not open for further replies.
Sasa wahind na waarabu kuna kabila km hilo hapa tz??tusiogopane jamn maana jana nimeshuhudia mtu kuchinjwa harafu kuwekwa kwenye mashine ya kusaga,tujuzane maana wengine tunatak kuoa
 
Be the first to reply....

Wahindi na Waarabu
Mpendwa Asprin, Muungwana Asprin, Mwenyeji wetu wa JF... Siku njema!1
Tafadhali usijumuishe au kujumlisha.. Kwa heshima naomba utuwie radhi bhana.. Just be FAIR !!!
Tunalisubiri Apology!!
 
Mpendwa Asprin, Muungwana Asprin, Mwenyeji wetu wa JF... Siku njema!1
Tafadhali usijumuishe au kujumlisha.. Kwa heshima naomba utuwie radhi bhana.. Just be FAIR !!!
Tunalisubiri Apology!!
Nakutaka radhi sheikh....

Hata hivyo niliyoyataja si makabila kama alivyotaka mleta mada....

Lengo lilikuwa kucrash thread zenye harufu ya kikabila.

Naamini apology imepokelewa kiroho safeyyyy...........
 
Sasa wahind na waarabu kuna kabila km hilo hapa tz??tusiogopane jamn maana jana nimeshuhudia mtu kuchinjwa harafu kuwekwa kwenye mashine ya kusaga,tujuzane maana wengine tunatak kuoa

Huyo uliyemuona anamchinja mwenzie ulifanikiwa kuuliza kabila lake?

Ila kiukweli hakuna kabila lenye roho mbaya kama kabila lenu.
 
Nakutaka radhi sheikh....

Hata hivyo niliyoyataja si makabila kama alivyotaka mleta mada....

Lengo lilikuwa kucrash thread zenye harufu ya kikabila.

Naamini apology imepokelewa kiroho safeyyyy...........
The Great ASPRIN.... kwa heshima na TAADHIMA UMEKUBALIKA "Kwa radhi zote"
Be Blessed...
 
Watu ndio wenye roho mbaya na sio makabila

Hata hivo kwa Tanzania kanda ya ziwa inaongoza kwa matukio ya kikatili mixer ushirikina mikoa ya kule wamevurugwa sana nilienda tarime siku moja aisee wale mamura wanakula bange
 
Nimependa majibu ya wadau kwenye hii hoja. Tabia haina kabila ndugu. Halafu hii tabia ya kuleta vihoja vyenye harufu ya ukabila ni chafu. Sisi ni watanzania na tunaheshimiana kwa hilo na hilo ndo linalotutofautisha na mataifa mengine. Kama huna hoja ya kuleta humu kuwa msomaji wa kama mimi. Na inanisaidia kujifunza. Ukabila ni wendawazimu.
 
JAMBAZ NDIO WALEWALE MAKABILA YENU,UNAJUA UKITAKA KUGUNDUA KITU MTU AMBACHO KINAMUHUSU% LAZIMA MATOKEO UTAYAONA TU,KINA JAMBAZ HAO HATARI TUP,USIOMBE UOE KABILA LA JAMBAZ UTAJUTA
 
FISAD MKUU UNAVYOJIBU VINAKUSAIDIAGA NN,BASI TU WENG C WA NCHI HII NDIO MAANA MPO TOFAUT NA MAKABILA MENGINE,
 
HII KITU LAZIMA IWAGUSE WENGI SANA
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…