Chief Kumbyambya
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 719
- 2,408
Wazee Jana usiku nimeota ndiyo makaburi yote nchini yameinuka juu huku yakipiga Amapiano ila sikujali.
Lakini kama nilivyesema hapo awali, usikubali kuteketea hata kidogo Tena Kwa mambo ya hovyo hovyo. Hivi unajua ni wangapi wamepotea mpaka sasa? Hakika nakwambia siku utakayojua utalia na kusaga meno na mapengo yake yawashe kama upupu uliochechewa mara saba Kwa miaka elfu Kenda mia Kenda tisini na kenga nukta Kenda... Hapo lazina utulie (Tena utulie)
Hivi Rose Muhando toka alivyoimba "Mteule uwe macho hizi ni siku za mwisho" Toka kipindi kile bado hazijafika tu?
Nipo zangu huku nyuma ya hospitali ya wilaya Rungwe Makandana karibu na mochwari huku nakula ganja, ila baridi inapiga kinoma hebu nimiminie hiyo kahawa hapo, halafu unichomee Hindi nitafune Kisha ukachote maji mtoni kabla ile njia hawajafungulia mbwa, si unapajua pale?
Haya wahi fasta nakusubiri nikitema mate hapa ole yakauke bado hujarudi nitakutahiri mara nne mfululizo.
Naomba kuwasilisha.
Lakini kama nilivyesema hapo awali, usikubali kuteketea hata kidogo Tena Kwa mambo ya hovyo hovyo. Hivi unajua ni wangapi wamepotea mpaka sasa? Hakika nakwambia siku utakayojua utalia na kusaga meno na mapengo yake yawashe kama upupu uliochechewa mara saba Kwa miaka elfu Kenda mia Kenda tisini na kenga nukta Kenda... Hapo lazina utulie (Tena utulie)
Hivi Rose Muhando toka alivyoimba "Mteule uwe macho hizi ni siku za mwisho" Toka kipindi kile bado hazijafika tu?
Nipo zangu huku nyuma ya hospitali ya wilaya Rungwe Makandana karibu na mochwari huku nakula ganja, ila baridi inapiga kinoma hebu nimiminie hiyo kahawa hapo, halafu unichomee Hindi nitafune Kisha ukachote maji mtoni kabla ile njia hawajafungulia mbwa, si unapajua pale?
Haya wahi fasta nakusubiri nikitema mate hapa ole yakauke bado hujarudi nitakutahiri mara nne mfululizo.
Naomba kuwasilisha.