Hakuna wa kuwa nunulia maziwa, wanapaswa tu kujua wao ni sehemu ya ushahidi wa juhudi za CCM, tena wao ni zao la utekelezaji wa Ilani ya 2005/2010/2015. Wakirudi makwao baba na mama zao watauliza nani mwema anayenunulia gongo au anayewajengea chuo kikuu nao waliofeli kufika mlimani wakasoma.
Ni kweli inasikitisha vijana wanashindwa kujifunza kutokana uvamizi wa Libya, na mbinu ni ileile ya kuvutisha bangi raia wema kisha kuhamasisha maovu kama kutupa mawe.
Nilikuwepo dogo, na tulikuwa ni vijana makini tuliopinga kwa ustaarabu na kutoa maoni yetu bila kumpiga mtu mawe, ndio maana ninyi mmezaliwa katika nchi inayopokea wakimbizi na si inayozalisha wakimbizi.
Wasomi wanaotupa mawe niwaite jina gani mkuu?
Mzee huyu matendo yake yanakera sana, nadhani bado anaishi kwa kuwa kuua ni dhambi.
Mwambieni Lema aje hapa akanushe kuwa hakutoa laki tatu kumpa, dogo wa UDOM anunue bangi na pombe siku ya public hearing pale bungeni, dogo anaitwa Jack Beur anasoma mwaka wa tatu. Then mimi nitamuomba radhi Mheshimiwa Lema.