Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Wana Jukwaa!
Tukiwa tunasubiri muda wa asubuhi kwenda kupiga kura katika uchaguzi huu wa serikali za mitaa ambao unafanyika leo Novemba 27, 2024.
Kuna hii video imenishangaza na kujikuta nacheka na kutafakari sana. Ambapo inawaonyesha makanda wa CCM wakiwa nyumbani kwa mtu wanaosha vyombo na huku wakisema tunaomba tu kura.
Sasa inamaana wameona ndiyo njia rahisi ya kuwafikia wananchi ili wapigiwe kura za ndiyo na sio tena kupitia kwenye majukwaa na kunadi sera zao?
Soma Pia: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mbona bado sana tutayaona mengi hadi kufika uchaguzi wa mwakani 2025.
PIA SOMA
- LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Tukiwa tunasubiri muda wa asubuhi kwenda kupiga kura katika uchaguzi huu wa serikali za mitaa ambao unafanyika leo Novemba 27, 2024.
Kuna hii video imenishangaza na kujikuta nacheka na kutafakari sana. Ambapo inawaonyesha makanda wa CCM wakiwa nyumbani kwa mtu wanaosha vyombo na huku wakisema tunaomba tu kura.
Sasa inamaana wameona ndiyo njia rahisi ya kuwafikia wananchi ili wapigiwe kura za ndiyo na sio tena kupitia kwenye majukwaa na kunadi sera zao?
Soma Pia: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mbona bado sana tutayaona mengi hadi kufika uchaguzi wa mwakani 2025.
PIA SOMA
- LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024