MAKADILIO YA KODI TRA

MAKADILIO YA KODI TRA

Zogoo da khama

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2013
Posts
631
Reaction score
592
Ndg zangu habarini za majukumu?
Naomba ushauri au msaada nini nifanye juu ya hili:
Mimi ni mjasiliamali nafanya uchuuzi na taasisi za umma na serikali, mwaka jana wote biashara haikuwa nzuri hasa baada ya mfumo mpya wa manunuzi yaani Nest kuanzishwa hivyo kupelekea ushindani kuwa mkubwa. Kimapato nilishuka sana sana. Sasq kwa upande wa makadilio kwa mwaka 2023 - 2024 nilikuwa nalipa 765,512 kila baada ya miezi mitatu hiyo nimelipa yote hadi December 2024. Sina deni, leo nimekwenda TRA kwaajili ya makadilio ya 2024-2025 naambiwa nitafute mhasibu anifanyie hesabu zangu on-line nikasema sina uwezo wa kumlipa pigeni hesabu mnipe makadilio nilipe cha ajabu makadilio yamekuwa makubwa kuliko mwaka uliopita, bahati nzuri nimeweka kumbukumbu za risiti zote nilizotoa mwaka jana woote toka January to Dec 2024. Je nini lifanye ili nilipe kadri nilivyopata? Inakuwaje pato la mwaka lishuke lakini kodi iongezeke? Ushauri ndg zangu nipate haki ya kulipa kodi kwa kile nilichovuna na sio kwa kuongezewa nisichovuna ili kufurahisha/ kukomoana.
 
Muhasibu ni bei rahisi sanaaa
Fikiria tena.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Sawa hiyo sio issue swali langu kwanini makadilio yamekuwa makubwa tofauti na uhalisia wa kipato changu na nini nifanye ili nilipe kulingana na nilichovuna?
 
Sawa hiyo sio issue swali langu kwanini makadilio yamekuwa makubwa tofauti na uhalisia wa kipato changu na nini nifanye ili nilipe kulingana na nilichovuna?
Selling Vs Purchase
Mtafute muhasibu akusukie hesabu utoboe.
Nina miaka mi4 sasa nina kampuni kila kitu cha mambo ya TRA anafanya muhasibu kwa maelewano yetu fulani

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Selling Vs Purchase
Mtafute muhasibu akusukie hesabu utoboe.
Nina miaka mi4 sasa nina kampuni kila kitu cha mambo ya TRA anafanya muhasibu kwa maelewano yetu fulani

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Shida watanzania tumezoea kufanya biashata kwa konakona, huyu anaona kumlipa mhasibu ni ghali ila yuko tayari kununua mzigo wa 100m na hasemi ni ghali.

Katika biashara lazima uwe na hawa watu..

1. Mhasibu

2. Mtu wa kodi

3. Mwanasheria.

Ukishindwa hivyo vyote basi walau uwe na mhasibu na mtu wa kukufanyia hesabu za mwisho wa mwaka (Auditor).

Ukiwa na hao watu sahau frastresheni za TRA.
 
Ndg zangu habarini za majukumu?
Naomba ushauri au msaada nini nifanye juu ya hili:
Mimi ni mjasiliamali nafanya uchuuzi na taasisi za umma na serikali, mwaka jana wote biashara haikuwa nzuri hasa baada ya mfumo mpya wa manunuzi yaani Nest kuanzishwa hivyo kupelekea ushindani kuwa mkubwa. Kimapato nilishuka sana sana. Sasq kwa upande wa makadilio kwa mwaka 2023 - 2024 nilikuwa nalipa 765,512 kila baada ya miezi mitatu hiyo nimelipa yote hadi December 2024. Sina deni, leo nimekwenda TRA kwaajili ya makadilio ya 2024-2025 naambiwa nitafute mhasibu anifanyie hesabu zangu on-line nikasema sina uwezo wa kumlipa pigeni hesabu mnipe makadilio nilipe cha ajabu makadilio yamekuwa makubwa kuliko mwaka uliopita, bahati nzuri nimeweka kumbukumbu za risiti zote nilizotoa mwaka jana woote toka January to Dec 2024. Je nini lifanye ili nilipe kadri nilivyopata? Inakuwaje pato la mwaka lishuke lakini kodi iongezeke? Ushauri ndg zangu nipate haki ya kulipa kodi kwa kile nilichovuna na sio kwa kuongezewa nisichovuna ili kufurahisha/ kukomoana.
Paundwe kanuni MAALUM ya ukokotoaji / ukadiriaji ili hata mfanyabiashara mwenyewe aweze kukokotoa, maana yaonesha Pana janjajanja nyingi !
 
Muhasibu ni bei rahisi sanaaa
Fikiria tena.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Shida watanzania tumezoea kufanya biashata kwa konakona, huyu anaona kumlipa mhasibu ni ghali ila yuko tayari kununua mzigo wa 100m na hasemi ni ghali.

Katika biashara lazima uwe na hawa watu..

1. Mhasibu

2. Mtu wa kodi

3. Mwanasheria.

Ukishindwa hivyo vyote basi walau uwe na mhasibu na mtu wa kukufanyia hesabu za mwisho wa mwaka (Auditor).

Ukiwa na hao watu sahau frastresheni za TRA.
Uzi uishie hapa.
 
Ndg zangu habarini za majukumu?
Naomba ushauri au msaada nini nifanye juu ya hili:
Mimi ni mjasiliamali nafanya uchuuzi na taasisi za umma na serikali, mwaka jana wote biashara haikuwa nzuri hasa baada ya mfumo mpya wa manunuzi yaani Nest kuanzishwa hivyo kupelekea ushindani kuwa mkubwa. Kimapato nilishuka sana sana. Sasq kwa upande wa makadilio kwa mwaka 2023 - 2024 nilikuwa nalipa 765,512 kila baada ya miezi mitatu hiyo nimelipa yote hadi December 2024. Sina deni, leo nimekwenda TRA kwaajili ya makadilio ya 2024-2025 naambiwa nitafute mhasibu anifanyie hesabu zangu on-line nikasema sina uwezo wa kumlipa pigeni hesabu mnipe makadilio nilipe cha ajabu makadilio yamekuwa makubwa kuliko mwaka uliopita, bahati nzuri nimeweka kumbukumbu za risiti zote nilizotoa mwaka jana woote toka January to Dec 2024. Je nini lifanye ili nilipe kadri nilivyopata? Inakuwaje pato la mwaka lishuke lakini kodi iongezeke? Ushauri ndg zangu nipate haki ya kulipa kodi kwa kile nilichovuna na sio kwa kuongezewa nisichovuna ili kufurahisha/ kukomoana.
Ungetafuta mhasibu ungelipa kodi sahihi.hapo ukiwaachia wao wakukadirie watafany kiwango cha jiu kwani wao wanapongezwa wakikisanyq kodi nyingi bila kujali hatq kama ni kwa kuonea watu.Ungewambia wakutafutie mhasibu wa bei nafuu.halafu wafanyabiashara jitahidini kutumia efd machine kwani inakupq kumbukumbu ya mauzo.ambayo yanatumika kukadiria kodi
 
Back
Top Bottom