Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatakiwa ujue itakuwa na upana na uref kias gan, lkn ikiwa ya kawaida ya tofal 2000 ili ikamilike kabsa andaa ml 35 na usimamie mwenyewe lkn hata ml 20 unaweza jenga na kuhamia itabak mapungufu ya vigae, alumniamu jpusum bod rang ambavyo unaweza kuweka kwa awamuhabari wana jf naomba kama kuna wataalam wanipe makadirio ya gharama ya kujenga boma la vumba vi 3 na sebule jiko stoo kwa mwanza inaweza fika bei gani mpka hela ya fundi
Ungetupa foto ingekuwa poa sanaNimeona Mwanza wanatumia mawe kama bati...
Khe km bati tenaNimeona Mwanza wanatumia mawe kama bati...
Izo tofali ni tofauti na za msingi?Unatakiwa ujue itakuwa na upana na uref kias gan, lkn ikiwa ya kawaida ya tofal 2000 ili ikamilike kabsa andaa ml 35 na usimamie mwenyewe lkn hata ml 20 unaweza jenga na kuhamia itabak mapungufu ya vigae, alumniamu jpusum bod rang ambavyo unaweza kuweka kwa awamu
boma mwanza msing maweIzo tofali ni tofauti na za msingi?
Hiv tofali za kawaida zinaweza Jenga msingi au zunakuwa zipo special kwaajili ya kujengea msingiboma mwanza msing mawe
Msingi 3mHabari wana JF naomba kama kuna wataalam wanipe makadirio ya gharama ya kujenga boma la vumba vi 3 na sebule jiko stoo kwa Mwanza inaweza fika bei gani mpka hela ya fundi?
Nyumba hainabati wala mlango na madirishaMsingi 3m
Boma 6m
Fundi 3m
Minor costs 2m
Jumla 14m.
Chini ya hapo inawezekana&juu ya hapo pia inawezekana.
Gharama zina tofautiana
kulingana&location!
Ni boma,siyo nyumba complete.Nyumba hainabati wala mlango na madirisha
Ok hapo sawaNi boma,siyo nyumba complete.
Rejea thread ya mtoa mada.