Makajanja wa Bongo wameanza kutumia ujenzi wa bomba kutapeli

Hii video ya pili nimekuletea ya serikal ikikiri kwamba haijawalipa mabilioni yote hayo unayo ona kama pesa ya mboga. Ni baada ya wewe kudai kwamba huwa hautumii Facebook, nenda hyo video ya Facebook uone kilio chao.
We jamaa una matatizo sio bure.
Ngojea nikuache local beer zikikata nadhan utakua sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…