Makaka zetu mkioa msisahau ndugu zenu...

wanamme wengi wakioa hawakumbuki kwao.

Jawabu huwa ni kuwatoa tu kwenye mahesabu, wanawake waliopo wanatunza wazazi na kuendeleza nyumbani.

Mkitegemea kaka zenu, siku moja mtaaibika.

proved sayantifikali.

kwa theory gani uliyotumia? Labda kwa kaka zako wa kisukuma.
 
Kuna msemo wakina mama huwa wanaunasema, labda una ukweli ndani yake, ukizaa mwanamkee umejiwekea hazina ukizaa wa kiume umemzalia mwanamke mwenzio
 
wanamme wengi wakioa hawakumbuki kwao.

Jawabu huwa ni kuwatoa tu kwenye mahesabu, wanawake waliopo wanatunza wazazi na kuendeleza nyumbani.

Mkitegemea kaka zenu, siku moja mtaaibika.

proved sayantifikali.

thisi izi vere truu
 
Pole sana Anitha, mimi ni kaka, ninachoona hapa huyu kaka yako ana tatizo, huwezi kusema hivyo kama una akili timamu.Kinachotokea ni kuwa mara nyingi kaka akioa anakua na majukumu mengi sana kama ya kwao/kwenu, kwa mke na pia jukumu la kujenga familia yake.Kwa maisha ya kawaida huu ni mzigo mkubwa sana hivyo msaada wake kwa familia yake lazima utapungua si kama alivyokuwa single.
Tatizo linakuja kwa ndugu na familia yake kulielewa hili, wao hutaka iwe kama zamani kitu ambacho hakiwezekani.
Ndio lawama huanza na kuishia kama hivi.Hii nakupa hali halisi kama kaka.
 

hapo mkuu umemwaga bonge la point,na hii ndio hali halisi.
 
Kuna msemo wakina mama huwa wanaunasema, labda una ukweli ndani yake, ukizaa mwanamkee umejiwekea hazina ukizaa wa kiume umemzalia mwanamke mwenzio

na akizaa jike dume hapo vp?
 
Mtoa mada,wapo wadada ambao pia akiolewa hana mpango na nduguze hata mama yake,,,,,,mfano huo ulitokea kwenye familia yetu,,,,,
hadi amechakachukiwa na kufilisiwa na mume ndo anakumbuka kutafuta ndugu mchana na kijinga cha moto
 
Kuna msemo wakina mama huwa wanaunasema, labda una ukweli ndani yake, ukizaa mwanamkee umejiwekea hazina ukizaa wa kiume umemzalia mwanamke mwenzio

vipi wanawake wanaosahau makwao?????
 
Fighter, na wanawake ambao hawajaolewa na wanasaidia familia zao?

Ni kweli kabisa lkn reason ni ndogo tu, wanawake wakiolewa wazuri wakuiweka familia (maana watoto na mume na yeye) karibu na kwao na kumsahulisha mwanume kwao, mwanume utajiona unapendwa na familia ya mke kumbe ni malengo mahususi.
 
Last edited by a moderator:
angalia nilichosema, 'wanamme wengi' sijasema 'wanamme wote'

lakini ukweli utabaki pale pale wanamme wakioa hawakumbuki walikotoka utadhani waliota kwenye mti.

kwa theory gani uliyotumia? Labda kwa kaka zako wa kisukuma.
 
BADILI TABIA, umeona ee.

Wazee wengi wanatunzwa na binti zao, wanamme wanajitunza wao na bia zao.

ni kweli, mbona tunayaona haya kwenye koo zetu, majirani, marafiki na watu watuzungukao?

anitha anadhani kaka yake kabadilika hela anatumia na mkewe atakuja kushangaa hata mkewe hatumii hizo hela kihivyo, usikute kaka yake hela anamalizia kwenye stuli ndefu...... Chezea wanaume....
 
Last edited by a moderator:
Hapo sasa, ukute wifi yao naye anauza ubuyu ndo aende saluni.

Wifi andhani kapewa na kaka.

Ndoa za watu wazione tu, ukute kila mtaa ana nyumba ndogo kama Bishanga.

 
Last edited by a moderator:

mawifi nyie si watu wazuri hasa kama kaka yenu kasoma na ana kazi nzuri sitaki hata kukusikiliza
 
Inasikitisha sana kaka anaoa af anakua hatak hata kuckia ndugu zake may be awe na shida zake ndo anaanza kuwatafuta. Mwingne anadiriki kutamka ndugu yangu ni mke wangu 2! It real pain.

Jipange vizuri kwanza...huyo kaka ni kichaa? ni kwa nini hataki kucikia ndugu zake? maelezo yako ni ya upande mmoja tu hayasaidii mjadala...jaribu kuwa objective kidogo. Je hashiriki shughuli za kijamii? hawapi misaada (mali/mawazo) mkiomba?

Je baya lake ni nini hasa? je ana maisha mazuri (kiuchumi) kuliko nduguze? je ni pale anapowatafuta nduguze wakati ana shida au? Ingesaidia sana kama ungetoa maelezo yenye mashiko kidogo.
 
hop hujanielewa ndg yng ctegemei msaada wa pesa kwake, nipo kwangu nna maisha yang.

sasa una lalama nini,,,,,,,,,familia ni baba mama na watoto,,,,,,wengine ni upendo tu,,,jibika si lazimiki,,,,,,,,ukiendekeza wengine wanabweteka hawajioni wanawajibu,,,wanakutazama kama the only solution,,,,,then mnabaki mnatambaa,,hanyanyuki mtu,,,,,,maisha ni vita,,acha kakio apambane,,,,,ipo kitu anapata kwa wife ,,faraja,,,baada ya kazi weye waja na madai tuuuu,,,,kizaman hicho yapo mambo ya msingi mf ,,makazi ya familia kama hamkujaliwa kuwa nayo,,,,,then,,,kama ugonjwa ameenda sana ada tena huyo mumbariki,,,unataka awasaidie akifa mapema wanawe wawe chokoraa,,,,,gundu mia ya mia:spy:
 
Mtoa mada,wapo wadada ambao pia akiolewa hana mpango na nduguze hata mama yake,,,,,,mfano huo ulitokea kwenye familia yetu,,,,,
hadi amechakachukiwa na kufilisiwa na mume ndo anakumbuka kutafuta ndugu mchana na kijinga cha moto

makubwa! Nilijua wanaume peke yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…