Makala: Ajali ya lori ya Kimara na premonition

Kichwa cha mada na kinachoongelewa ni mbingu na ardhi umejikita zaidi kwenye titanic kuliko ajali iliyotokea.
Ungetuambia mwenyekiti alitoa watu kwa sababu gan na mamb mengine ila umekuja na bla bla nying sana whozu
 
Coincidences sio unabii mkuu. Kunywa chai kwanza kabla ya kuandika kitu jeiefu
 
Mimi nilijua tuko Kimara na lorry kumbe tunaongea titanic
 
Naona maelezo mengi ni kuhusu ajalibya Titanic, wakati picha inaonesha lori lililopinduka...
Amemwangusha Mzee wetu Agoro Anduru, moja ya waandishi mahiri kuwahi kutokea. naona mfanano wa majina, sijui ni nduguye au ni mfanano tu?
 
Kwani huko Kimara kumetokea nini kinachohusiana na premonition?

Naona maelezo mengi ni kuhusu ajalibya Titanic, wakati picha inaonesha lori lililopinduka...
Mwenyekiti wa mtaa aliwatoa wafanyabiashara Asubuhi jioni AJALI ikatokea that is either a coincidence or premonition
 
Amemwangusha Mzee wetu Agoro Anduru, moja ya waandishi mahiri kuwahi kutokea. naona mfanano wa majina, sijui ni nduguye au ni mfanano tu?
Agoro anduru siyo Mzee wenu ni baba yangu Mimi. Kama mpaka Sasa hujaweza kuunganisha tahadhari za Mwenyekiti wa mtaa na makala ya premonition basi huna damu yetu kwetu hakuna ma slow learner
 
Kwani huko Kimara kumetokea nini kinachohusiana na premonition?

Naona maelezo mengi ni kuhusu ajalibya Titanic, wakati picha inaonesha lori lililopinduka...
Mkuu umenifanya nicheke kwa sauti🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…