Makala: Juma Nature, Sinta walivyozua balaa kwenye uzinduzi wa ‘Ugali’ (TBT)

Kuna shoo Leaders Club dully alipigwa makopo live akawa anashuka jukwaani Vivian Tillya RIP akawa anamrudisha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Tumekaa chumbani watatu Mara wansema new track ya nature staki demu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]balaaa nadhani 2002 or 2003 wee sisahau that day mpk pozi pale kitandani tumeshikilia kiredio
 
Nature alikuwa na die hard fans ndio maana hadi leo akipiga show bado watu wanahudhuria..

Ila ile video ya mpenzi ya james dandu na sinta [emoji4][emoji4][emoji4] sijui nature alikuwa anajisikiaje akiiangalia
Miye mpk kesho nature akipiga sehemu Kama siko busy naenda kiukweli haijawahi niisha hamu Yule mwamba na anafunika balaa
 
Umeandika vizuri sana.sema afande sele ni ccm,angeingia 5 Bora nae
 
britanicca

Asante kwa kutumia muda wako kutuhabarisha hii kumbukizi.

Kwa jinsi ulivyoiandika vizuri, hakika haihitaji video clip kuvuta hisia za nini kilichotokea enzi hizo. Hongera kwa uandishi mwanana ulio sheheni mbwembwe zote muhimu.
Nakazia hapa jamani
 
uzi una vinyama nyama vya kutosha, ila kusema wataoelewa ni waliozaliwa miaka ya 2000s hapo umetupiga kamba.
 
Nature alikuwa na die hard fans ndio maana hadi leo akipiga show bado watu wanahudhuria..

Ila ile video ya mpenzi ya james dandu na sinta [emoji4][emoji4][emoji4] sijui nature alikuwa anajisikiaje akiiangalia
Kumbe
 
Historia nzuri, nimesoma mwanzo mwisho, sasa alivyoimba demu wake kapimwa amekutwa na goma, yeye niaje hapo duh[emoji30]
"Kiufupi ni'sha pima ,nimeonekana sina ngoma..
We bado hujakoma!? "

Mbona alijibu kwenye huu mstari..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…