Makali ya Serengeti Boys kuanzia Madagascar leo hadi Afrika Kusini

Daniel Mbega

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
338
Reaction score
180
TIMU ya soka ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, leo ina kibarua kigumu dhidi ya vijana wenzao wa Madagascar katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa yakiwa ni maandalizi yao kabla ya kuwavaa vijana wa Afrika Kusini kuwania kucheza fainali za Afrika zitakazofanyika jijini Antananarivo, Madagascar kati ya Aprili 2-16, 2017.

Serengeti Boys imepiga kambi jijini Antananarivo, Madagascar kujiandaa kucheza na Afrika Kusini katika mchezo mgumu wa awali kuwania nafasi ya kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika utakaofanyika Agosti 6, 2016.

Soma zaidi=> Makali ya Serengeti Boys kuanzia Madagascar leo hadi Afrika Kusini | Fikra Pevu
 
Kila la kheri Serengeti Boyz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…