Makalio Yangu Hunifanya Nisivae Nguo za Ndani SNURA MUSHI

Makalio Yangu Hunifanya Nisivae Nguo za Ndani SNURA MUSHI

MaxShimba

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
35,771
Reaction score
4,065
SNURA.bmp




snura2.bmp

Ama kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni ............. nimeamini kweli biashara Matangazo!!!! msanii wa bongo movies - pichani kaamua kuyanadi makalio yake katika mitandao mbali mbali na kujisemesha eti utumbo kama si ujinga eti ....!!! “Tangu nikiwa mtoto nilikuwa na makalio na haya nimerithi kwa bibi yangu kwani alikuwa mnene sana.”




“Usumbufu ni mkubwa sana kutoka kwa wanaume, baadhi yao ukipita wanakuomba namba za simu.”

“Natamani kupungua kidogo juu lakini siyo makalio kwa sababu hili ni pambo kwenye kazi yangu ya muziki.



“Huwa napenda kuvaa magauni marefu kwa sababu huwa najiona ninapendeza, shepu yangu inaonekana vizuri na nimejisitiri pia.”
 
Juzi kaenda mombasa kujifunza kukatika chakla ya dallas naitamani hii kitu .... ngoja aje huju tandahimba
 
kizuri chajiuza,kibaya chajitembeza.Ndo maana madem wa dizain hii mshkaji wng fulani akiwapata lazima awakomeshe,usiniulize anawakomeshaje,anajua mwenyewe...
 
Juzi kaenda mombasa kujifunza kukatika chakla ya dallas naitamani hii kitu .... ngoja aje huju tandahimba

Huy si ndo design ya wale wanaoogopa hata panzi? Huko kwenu hafiki ng'o..... labda mpaka barabara ya Mtama- Tandahimba itiwe lami.
 
kizuri chajiuza,kibaya chajitembeza.Ndo maana madem wa dizain hii mshkaji wng fulani akiwapata lazima awakomeshe,usiniulize anawakomeshaje,anajua mwenyewe...
0713 lkn siku hiz huwakomeshi wanaitaka sana laini hiyo
 
Kawaida sana ! Huku mtaani wapo watu wamejazia sana tu sema hawajapata nafasi za kuact hizo sijui mnaita bongo movies na vitu kama hizo za kujipromote
Anyways yote maisha
 
Yuko baamedi mmoja pale Bloaters Pub, Mbezi, Tanki bovu, anafanana sana na huyu dada hasa makalio. Nadhani wana undugu.
 
hana lolote huyo anajiuza na kwa kifupi, tunamfahamu vizuri mtu ka mi hanipati. Makalio si lolote katika haya.
 
Huy si ndo design ya wale wanaoogopa hata panzi? Huko kwenu hafiki ng'o..... labda mpaka barabara ya Mtama- Tandahimba itiwe lami.

hahaaaaaaa heshma kwako!!!lool nmecheka sana!at ad barabara ya tandahimba itiwe lami
 
ila hawa wanabongo nyuzi hawa! Tabu tupu
 
''SAMAHAN LAKINI'' mwanamke ataweza kukomboka kwa kuacha kudhan kuwa mwili wake ndo thaman yake,sasa dada huyu pamoja na uwezo wake wa kufungua blog yake ndo anaandika upuuz huu,hv imagine ana wanawe je ! Watapata vp taswira ya mama yao ilivo na wao watakuwje. Wakat flan cjui n ulimbuken au ujuaji unaanza vp kuandika hz mambo et cvai nguo za ndan sasa hilo pachi pach likitoa ute inakuwaje sasa, na mbona hasem kuwa wanapo mwomba namba za simu huwa wanapenda sana tigo au pach pach,'DADA ZETU MBADILIKE' hakuna mwanaume anaweza kuja kuoa huyu mwanamke wa style hz kweli naye akawa comfortable kabsa na maisha ya huyu mwanamke.NO HUYU WATOTO WA MJIN WANAKWAMBIE CHAPA ILALE. (YAAN BAADA YA TENDO TUCJUANE) , na yy anaonesha maisha haya kakubali kuuza mbunye na jicho ndo maisha yake na kuwakatikia wa2 viuno hana matarajio mengine kwamba akiwa bibi kukata viuno na kuonyesha makalio kwa kutovaa nguo za ndan yataendelea. Tuna kaz kubwa ya kufanya kuwaelimisha wanwake kwn walioweng akili zao hudhan thaman yao iko mwilin mwao na ndio mtaji wao, we have a long way to go serious.
 
Back
Top Bottom