LGE2024 Makalla ampongeza Lissu kukiri CHADEMA haina wagombea Serikali za Mitaa

LGE2024 Makalla ampongeza Lissu kukiri CHADEMA haina wagombea Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
MAKALLA AMPONGEZA LISSU KUKIRI CHADEMA HAINA WAGOMBEA SERIKALI ZA MITAA.

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) CPA Amoss Makala amesema Chama hicho Kipo tayari na kimethibitisha kushika dola lakini CHADEMA haina uwezo huo na Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu amekiri hadharani.

Pia soma: Amosi Makalla mwenezi wangu punguza kuwataja taja CHADEMA katika Mikutano yako unawapa unnecessary mileage

View attachment 3146004

Huyu jamaa atakuwa anamuota simba eh? Hanaga hoja ingine bila kumtaja?
 
MAKALLA AMPONGEZA LISSU KUKIRI CHADEMA HAINA WAGOMBEA SERIKALI ZA MITAA.

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) CPA Amoss Makala amesema Chama hicho Kipo tayari na kimethibitisha kushika dola lakini CHADEMA haina uwezo huo na Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu amekiri hadharani.

Pia soma: Amosi Makalla mwenezi wangu punguza kuwataja taja CHADEMA katika Mikutano yako unawapa unnecessary mileage

View attachment 3146004
Kwa chaguzi hizi za kishenzi, sioni mtu akiwa tayari kupoteza muda kwenye chaguzi ambazo anayetakiwa kutangazwa ni mgombea wa ccm. Inshort hakuna mtu atajitokeza kushiriki upuuzi.
 
Back
Top Bottom