LGE2024 Makalla: CCM ipo tayari kupokea matokeo yoyote ya uchaguzi Serikali za Mitaa

LGE2024 Makalla: CCM ipo tayari kupokea matokeo yoyote ya uchaguzi Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa, Amos Makalla akizungumza hayo leo Oktoba 22, 2024 wakati wa hafla ya kupokea taarifa ya zoezi la uandikishaji wa daftari la mkazi la uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa CCM ipo tayari kwa matokeo yoyote

“Tunaamini uchaguzi huu utakuwa huru na haki, CCM itakuwa chama kiongozi cha kuheshimu matokeo yoyote, aliyeshindwa, ameshindwa, aliyeshinda atatangazwa mshindi. Umeshinda uchaguzi kwa haki utatangazwa mshindi, umeshindwa upokee matokeo hayo.

Kwa hiyo CCM haihitaji mbeleko kwa kazi ilizo zifanya kwa maandalizi tuliyoyafanya, tunaamini wananchi watatuelewa muda ukifika kama walivyotuelewa katika hamasa ya uandikishaji. Kwa hiyo tunasubiri muda huo ufike, tukafanye kampeni za haki lakini pia mwenye haki ashinde uchaguzi huo”


 
Wow! Ni baada ya kumaliza awamu ya Kwanza ya kupika idadi ya wapiga Kura...!
Kadema hata hawajuhi kinachoendrlea maana hata mawakala hawakuweka kituoni!
 
Kwenye mawakala hapo Chadema wamejifelisha. Siku ya uchaguzi wajiandae kupigwa na rungu la comrade Kipepe.
Wow! Ni baada ya kumaliza awamu ya Kwanza ya kupika idadi ya wapiga Kura...!
Kadema hata hawajuhi kinachoendrlea maana hata mawakala hawakuweka kituoni!
 
Makala, uchaguzi ulishaisha mbona tunajua?
Hata % mtakazoshinda nazo mmeshazijua!
Kwa ufupi: mmeshamaliza kitu kitu nje ya chumba cha kuhesabu kura!
 
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa, Amos Makalla akizungumza hayo leo Oktoba 22, 2024 wakati wa hafla ya kupokea taarifa ya zoezi la uandikishaji wa daftari la mkazi la uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa CCM ipo tayari kwa matokeo yoyote

“Tunaamini uchaguzi huu utakuwa huru na haki, CCM itakuwa chama kiongozi cha kuheshimu matokeo yoyote, aliyeshindwa, ameshindwa, aliyeshinda atatangazwa mshindi. Umeshinda uchaguzi kwa haki utatangazwa mshindi, umeshindwa upokee matokeo hayo.

Kwa hiyo CCM haihitaji mbeleko kwa kazi ilizo zifanya kwa maandalizi tuliyoyafanya, tunaamini wananchi watatuelewa muda ukifika kama walivyotuelewa katika hamasa ya uandikishaji. Kwa hiyo tunasubiri muda huo ufike, tukafanye kampeni za haki lakini pia mwenye haki ashinde uchaguzi huo”


Majizi makubwa ya kura yaliyokubuhu hata haya hayana pumbavu kabisa
 
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa, Amos Makalla akizungumza hayo leo Oktoba 22, 2024 wakati wa hafla ya kupokea taarifa ya zoezi la uandikishaji wa daftari la mkazi la uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa CCM ipo tayari kwa matokeo yoyote

“Tunaamini uchaguzi huu utakuwa huru na haki, CCM itakuwa chama kiongozi cha kuheshimu matokeo yoyote, aliyeshindwa, ameshindwa, aliyeshinda atatangazwa mshindi. Umeshinda uchaguzi kwa haki utatangazwa mshindi, umeshindwa upokee matokeo hayo.

Kwa hiyo CCM haihitaji mbeleko kwa kazi ilizo zifanya kwa maandalizi tuliyoyafanya, tunaamini wananchi watatuelewa muda ukifika kama walivyotuelewa katika hamasa ya uandikishaji. Kwa hiyo tunasubiri muda huo ufike, tukafanye kampeni za haki lakini pia mwenye haki ashinde uchaguzi huo”


 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom