LGE2024 Makalla: Chagueni wagombea wa CCM wale wa CHADEMA Mbowe kasema hawana ILANI ni hatari kuwa na kiongozi bila kuwa na Mkataba wa atakufanyia nini

LGE2024 Makalla: Chagueni wagombea wa CCM wale wa CHADEMA Mbowe kasema hawana ILANI ni hatari kuwa na kiongozi bila kuwa na Mkataba wa atakufanyia nini

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029

KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC ) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi,Siasa na Mafunzo CPA Amos Makala amesema amemsikia Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe Akieleza kuwa Chama chake hakina Ilani na wagombea wao watatakiwa kubuni buni Ilani tu.

CPA Makala ameyasema hayo leo Novemba 20,2024 mbele ya wananchi wakiwemo wana CCM wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam alipokuwa akizindua kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa,vijiji na vitongoji unaotarajia utafanyika Novemba 27 mwaka huu.

Akizungumza mbele ya mamia ya wananchi hao CPA Makala amesema amefuatilia hotuba ya Mbowe jana na amemsikia akisema Chama chake hakina Ilani na ameagiza kila mgombea atakayeteuliwa katika Kijiji chake au katika mtaa wake abuni Ilani yake

“Nilisikia hivyo kwamba wao hahawawezi kuandika Ilani, hawana jambo lolote la kusimamia uchaguzi huu ila wamewaagiza wagombea wao kubuni buni Ilani ya mtaa au kama kuna kijiji abuni yeye Ilani ya pale…

“Kwahiyo mnaweza kupata picha mnaenda katika uchaguzi kuna Chama kimeleta maendeleo na mafanikio,kuna chama kina Ilani lakini kuna chama kingine kinakuja kuomba kura lakini kinawathabitishia Watanzania kwamba wao hawakujipanga na wanataka wagombea wao wabuni Ilani katika kijiji anachokaa

“Pamoja na Ilani sisi Chama Cha Mapinduzi tumetoa tamko la kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,hawa wagombea wetu watakuwa wanajinadi lakini watakuwa wanatumia tamko la Chama Cha Mapinduzi.”
 
Sasaa itakuwajeee...

Ni huzunii ...
FB_IMG_1732128911689.jpg
 
View attachment 3157199
KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC ) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi,Siasa na Mafunzo CPA Amos Makala amesema amemsikia Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe Akieleza kuwa Chama chake hakina Ilani na wagombea wao watatakiwa kubuni buni Ilani tu.

CPA Makala ameyasema hayo leo Novemba 20,2024 mbele ya wananchi wakiwemo wana CCM wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam alipokuwa akizindua kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa,vijiji na vitongoji unaotarajia utafanyika Novemba 27 mwaka huu.

Akizungumza mbele ya mamia ya wananchi hao CPA Makala amesema amefuatilia hotuba ya Mbowe jana na amemsikia akisema Chama chake hakina Ilani na ameagiza kila mgombea atakayeteuliwa katika Kijiji chake au katika mtaa wake abuni Ilani yake

“Nilisikia hivyo kwamba wao hahawawezi kuandika Ilani, hawana jambo lolote la kusimamia uchaguzi huu ila wamewaagiza wagombea wao kubuni buni Ilani ya mtaa au kama kuna kijiji abuni yeye Ilani ya pale…

“Kwahiyo mnaweza kupata picha mnaenda katika uchaguzi kuna Chama kimeleta maendeleo na mafanikio,kuna chama kina Ilani lakini kuna chama kingine kinakuja kuomba kura lakini kinawathabitishia Watanzania kwamba wao hawakujipanga na wanataka wagombea wao wabuni Ilani katika kijiji anachokaa

“Pamoja na Ilani sisi Chama Cha Mapinduzi tumetoa tamko la kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,hawa wagombea wetu watakuwa wanajinadi lakini watakuwa wanatumia tamko la Chama Cha Mapinduzi.”
FB_IMG_1732143913228.jpg
 
View attachment 3157199
KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC ) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi,Siasa na Mafunzo CPA Amos Makala amesema amemsikia Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe Akieleza kuwa Chama chake hakina Ilani na wagombea wao watatakiwa kubuni buni Ilani tu.

CPA Makala ameyasema hayo leo Novemba 20,2024 mbele ya wananchi wakiwemo wana CCM wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam alipokuwa akizindua kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa,vijiji na vitongoji unaotarajia utafanyika Novemba 27 mwaka huu.

Akizungumza mbele ya mamia ya wananchi hao CPA Makala amesema amefuatilia hotuba ya Mbowe jana na amemsikia akisema Chama chake hakina Ilani na ameagiza kila mgombea atakayeteuliwa katika Kijiji chake au katika mtaa wake abuni Ilani yake

“Nilisikia hivyo kwamba wao hahawawezi kuandika Ilani, hawana jambo lolote la kusimamia uchaguzi huu ila wamewaagiza wagombea wao kubuni buni Ilani ya mtaa au kama kuna kijiji abuni yeye Ilani ya pale…

“Kwahiyo mnaweza kupata picha mnaenda katika uchaguzi kuna Chama kimeleta maendeleo na mafanikio,kuna chama kina Ilani lakini kuna chama kingine kinakuja kuomba kura lakini kinawathabitishia Watanzania kwamba wao hawakujipanga na wanataka wagombea wao wabuni Ilani katika kijiji anachokaa

“Pamoja na Ilani sisi Chama Cha Mapinduzi tumetoa tamko la kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,hawa wagombea wetu watakuwa wanajinadi lakini watakuwa wanatumia tamko la Chama Cha Mapinduzi.”

Kwani wagombea wa ccm wanategemea kura au mapingamizi?
 
View attachment 3157199
KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC ) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi,Siasa na Mafunzo CPA Amos Makala amesema amemsikia Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe Akieleza kuwa Chama chake hakina Ilani na wagombea wao watatakiwa kubuni buni Ilani tu.

CPA Makala ameyasema hayo leo Novemba 20,2024 mbele ya wananchi wakiwemo wana CCM wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam alipokuwa akizindua kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa,vijiji na vitongoji unaotarajia utafanyika Novemba 27 mwaka huu.

Akizungumza mbele ya mamia ya wananchi hao CPA Makala amesema amefuatilia hotuba ya Mbowe jana na amemsikia akisema Chama chake hakina Ilani na ameagiza kila mgombea atakayeteuliwa katika Kijiji chake au katika mtaa wake abuni Ilani yake

“Nilisikia hivyo kwamba wao hahawawezi kuandika Ilani, hawana jambo lolote la kusimamia uchaguzi huu ila wamewaagiza wagombea wao kubuni buni Ilani ya mtaa au kama kuna kijiji abuni yeye Ilani ya pale…

“Kwahiyo mnaweza kupata picha mnaenda katika uchaguzi kuna Chama kimeleta maendeleo na mafanikio,kuna chama kina Ilani lakini kuna chama kingine kinakuja kuomba kura lakini kinawathabitishia Watanzania kwamba wao hawakujipanga na wanataka wagombea wao wabuni Ilani katika kijiji anachokaa

“Pamoja na Ilani sisi Chama Cha Mapinduzi tumetoa tamko la kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,hawa wagombea wetu watakuwa wanajinadi lakini watakuwa wanatumia tamko la Chama Cha Mapinduzi.”
Safi sana cde
 
KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC ) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi,Siasa na Mafunzo CPA Amos Makala amesema amemsikia Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe Akieleza kuwa Chama chake hakina Ilani na wagombea wao watatakiwa kubuni buni Ilani tu.

CPA Makala ameyasema hayo leo Novemba 20,2024 mbele ya wananchi wakiwemo wana CCM wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam alipokuwa akizindua kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa,vijiji na vitongoji unaotarajia utafanyika Novemba 27 mwaka huu.

Akizungumza mbele ya mamia ya wananchi hao CPA Makala amesema amefuatilia hotuba ya Mbowe jana na amemsikia akisema Chama chake hakina Ilani na ameagiza kila mgombea atakayeteuliwa katika Kijiji chake au katika mtaa wake abuni Ilani yake

“Nilisikia hivyo kwamba wao hahawawezi kuandika Ilani, hawana jambo lolote la kusimamia uchaguzi huu ila wamewaagiza wagombea wao kubuni buni Ilani ya mtaa au kama kuna kijiji abuni yeye Ilani ya pale…

“Kwahiyo mnaweza kupata picha mnaenda katika uchaguzi kuna Chama kimeleta maendeleo na mafanikio,kuna chama kina Ilani lakini kuna chama kingine kinakuja kuomba kura lakini kinawathabitishia Watanzania kwamba wao hawakujipanga na wanataka wagombea wao wabuni Ilani katika kijiji anachokaa

“Pamoja na Ilani sisi Chama Cha Mapinduzi tumetoa tamko la kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,hawa wagombea wetu watakuwa wanajinadi lakini watakuwa wanatumia tamko la Chama Cha Mapinduzi.”
 
Kwa jinsi wananchi wanavyotaka mabadiliko ya kisiasa hata chama kisicho na ilani watakipigia kura kuliko kuipigia CCM kura. Kwani hata hiyo ilani ya CCM haitekelezeki kwa asilimia mia moja
 
Ilani manake ni nini?
Lazima iandikwe kwenye kitabu ?
Mfano mtu anagombea uwenyekiti wa kijiji A anaishi hapo miaka yake yote unataka unambie Hayajui matatizo na changamoto za pale hadi aandike?
CPA Makala ana CPA Kweli au anazungumza toka hewani??????????
 
View attachment 3157199
KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC ) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi,Siasa na Mafunzo CPA Amos Makala amesema amemsikia Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe Akieleza kuwa Chama chake hakina Ilani na wagombea wao watatakiwa kubuni buni Ilani tu.

CPA Makala ameyasema hayo leo Novemba 20,2024 mbele ya wananchi wakiwemo wana CCM wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam alipokuwa akizindua kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa,vijiji na vitongoji unaotarajia utafanyika Novemba 27 mwaka huu.

Akizungumza mbele ya mamia ya wananchi hao CPA Makala amesema amefuatilia hotuba ya Mbowe jana na amemsikia akisema Chama chake hakina Ilani na ameagiza kila mgombea atakayeteuliwa katika Kijiji chake au katika mtaa wake abuni Ilani yake

“Nilisikia hivyo kwamba wao hahawawezi kuandika Ilani, hawana jambo lolote la kusimamia uchaguzi huu ila wamewaagiza wagombea wao kubuni buni Ilani ya mtaa au kama kuna kijiji abuni yeye Ilani ya pale…

“Kwahiyo mnaweza kupata picha mnaenda katika uchaguzi kuna Chama kimeleta maendeleo na mafanikio,kuna chama kina Ilani lakini kuna chama kingine kinakuja kuomba kura lakini kinawathabitishia Watanzania kwamba wao hawakujipanga na wanataka wagombea wao wabuni Ilani katika kijiji anachokaa

“Pamoja na Ilani sisi Chama Cha Mapinduzi tumetoa tamko la kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,hawa wagombea wetu watakuwa wanajinadi lakini watakuwa wanatumia tamko la Chama Cha Mapinduzi.”
Inafikirisha sana. Andiko zuri sana. Mbowe anahitaji kujifanyia ' SWOT Analysis '. 👊👊
 
View attachment 3157199
KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC ) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi,Siasa na Mafunzo CPA Amos Makala amesema amemsikia Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe Akieleza kuwa Chama chake hakina Ilani na wagombea wao watatakiwa kubuni buni Ilani tu.

CPA Makala ameyasema hayo leo Novemba 20,2024 mbele ya wananchi wakiwemo wana CCM wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam alipokuwa akizindua kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa,vijiji na vitongoji unaotarajia utafanyika Novemba 27 mwaka huu.

Akizungumza mbele ya mamia ya wananchi hao CPA Makala amesema amefuatilia hotuba ya Mbowe jana na amemsikia akisema Chama chake hakina Ilani na ameagiza kila mgombea atakayeteuliwa katika Kijiji chake au katika mtaa wake abuni Ilani yake

“Nilisikia hivyo kwamba wao hahawawezi kuandika Ilani, hawana jambo lolote la kusimamia uchaguzi huu ila wamewaagiza wagombea wao kubuni buni Ilani ya mtaa au kama kuna kijiji abuni yeye Ilani ya pale…

“Kwahiyo mnaweza kupata picha mnaenda katika uchaguzi kuna Chama kimeleta maendeleo na mafanikio,kuna chama kina Ilani lakini kuna chama kingine kinakuja kuomba kura lakini kinawathabitishia Watanzania kwamba wao hawakujipanga na wanataka wagombea wao wabuni Ilani katika kijiji anachokaa

“Pamoja na Ilani sisi Chama Cha Mapinduzi tumetoa tamko la kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,hawa wagombea wetu watakuwa wanajinadi lakini watakuwa wanatumia tamko la Chama Cha Mapinduzi.”
Ccm ndio chama Dume kwa sasa
 
KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC ) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi,Siasa na Mafunzo CPA Amos Makala amesema amemsikia Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe Akieleza kuwa Chama chake hakina Ilani na wagombea wao watatakiwa kubuni buni Ilani tu.

CPA Makala ameyasema hayo leo Novemba 20,2024 mbele ya wananchi wakiwemo wana CCM wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam alipokuwa akizindua kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa,vijiji na vitongoji unaotarajia utafanyika Novemba 27 mwaka huu.

Akizungumza mbele ya mamia ya wananchi hao CPA Makala amesema amefuatilia hotuba ya Mbowe jana na amemsikia akisema Chama chake hakina Ilani na ameagiza kila mgombea atakayeteuliwa katika Kijiji chake au katika mtaa wake abuni Ilani yake

“Nilisikia hivyo kwamba wao hahawawezi kuandika Ilani, hawana jambo lolote la kusimamia uchaguzi huu ila wamewaagiza wagombea wao kubuni buni Ilani ya mtaa au kama kuna kijiji abuni yeye Ilani ya pale…

“Kwahiyo mnaweza kupata picha mnaenda katika uchaguzi kuna Chama kimeleta maendeleo na mafanikio,kuna chama kina Ilani lakini kuna chama kingine kinakuja kuomba kura lakini kinawathabitishia Watanzania kwamba wao hawakujipanga na wanataka wagombea wao wabuni Ilani katika kijiji anachokaa

“Pamoja na Ilani sisi Chama Cha Mapinduzi tumetoa tamko la kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,hawa wagombea wetu watakuwa wanajinadi lakini watakuwa wanatumia tamko la Chama Cha Mapinduzi.”
Nondo
 
Back
Top Bottom