Kwahiyo Mkutano Mkuu upo kama jiwe, limeshakauka haliwezi kufinywangwa? Wenzetu kwenye Mkutano Mkuu ni malaika hawawezi kukosea? Ikisemwa ndio imetoka hiyo?ππ.
Mpaka Makalla anatetemeka ugali usije kukatishwa shughuli yake ikaisha?
Kuna nidhamu afu kuna uoga unaokufanya ufanye mambo kama huna kichwa mradi tu Boss afurahi.
Mambo yao tunawaachia wenyewe mpaka yawaue au tunabadilisha upepo Wakuu?ππ
Your browser is not able to display this video.
"....chama chochote cha siasa ukikosea kuwa na taratibu na nidhamu ndani ya chama kuna siku itatokea tu uasi, bila kuwa na taratibu na maadili ya wanachama ni fujo...Malisa jina lake, maamuzi yamefanywa na Mkutano Mkuu wa Taifa kikao cha mwisho hata mimi mwenyewe naogopa....tunaheshimu Mkutano Mkuu..β Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM - Amos Makalla