Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
Sasa unachobisha unao ushahidi Uchaguzi huu hautakuwa wa haki na huru?ujinga mtupu, hatutaki maneno ya mtu tunataka vitendo, kama mna uhakika na hilo kwanini mmekomaa Wakurugenzi ambao ni makada wa CCM wawe wasimamizi wa uchaguzi? Kwanini mmekataa tume huru ya uchaguzi badala yake mkaweka jina tu? Mwambieni Makala hivi, Tanzania sio y wapumbavu tena. Nimekumbuka ebzi za kitabu cha Bi Kirembwe na Unga wa Ndere........
Hiyo akili na Elimu yako ishukuru sana CCMCCM mnatuonaga wote hatuna akili
utakuta nabishana na mtu hajui hata kulipa kodi, yaani nikulipe kodi haalfu nikushukuru, ndio akili za bata ninazosema hizi kwa vijana wa CCMHiyo akili na Elimu yako ishukuru sana CCM
Sasa kama mnaanzisha chama na kinaongozwa na familia Moja kwa miongo mitatu,CCM mnatuonaga wote hatuna akili
Naonga facts, uchaguzi hauwezi kuwa huru kwa maneno ya mropokaji mmoja hivi, unakua huru kwa vitendo, unataka ushahidi gani> Nishakwambia huwezi kuwatumia watendaji wa CCM including wakurugenzi kuwa maofisa wa uchaguzi ambao inajulikana kabisa kuwa ni makada, huwezi kuwaurhusu polisi ambao wanajulikana kabisa kuwa hawana maadili waingie kwenye vyumba vya kupigia kura, na mengine mengi, unataka nini tena zaidi ya hapo?Sasa unachobisha unao ushahidi Uchaguzi huu hautakuwa wa haki na huru?
Kuna tofauti gani kwa chama kuongozwa kwa miongo mitatu na CCM iliyojichokea kuongoza kwa miaka yote hio huku hali ikizidi kuwa duni? Kumbe huna akili kiasi hiki, huwezi kufanya simple reasoning.....Sasa kama mnaanzisha chama na kinaongozwa na familia Moja kwa miongo mitatu,
Kweli mnazo akili?
Hata CCM ilisajiliwa 1992 Leo Ina Wenyeviti wastaafu 5, CHADEMA mmoja tuKuna tofauti gani kwa chama kuongozwa kwa miongo mitatu na CCM iliyojichokea kuongoza kwa miaka yote hio huku hali ikizidi kuwa duni? Kumbe huna akili kiasi hiki, huwezi kufanya simple reasoning.....
Utulivu wa Makalla unanipa furaha sana kwamba sasaa upele umepata mkunajiView attachment 2977972
Katibu wa NEC Itikadi ,Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa,
Mhe Amos Makalla, amesema chama Cha Mapinduzi CCM kitakuwa mstari wa mbele katika kutekeleza kwa vitendo haki, usawa na wajibu.
Nia ya CCM Tanzania kuwa na uchaguzi ulio huru, wa haki na wenye kuaminika.
Ndg Makalla alimwakilisha Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi.
Amevikumbusha vyombo vya habari kuwa na vyama vya Siasa kuwa , pamoja na kuandika habari zao kwa uhuru, vinapaswa kutambua umuhimu wa kulinda amani na usalama wa nchi.
Mhe Makalla amesisitiiza kuwa kama Taifa hatuna Mbdala wa Mama Tanzania.
Nakuunga mkono 100%Nasema Uchaguzi wa Tanzania hata kama Lissu yeye mwenyewe atakuwa mkt wa tume bado kipigo kitamuhusu tu.
Mhe Makala for ChangeView attachment 2977972
Katibu wa NEC Itikadi ,Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa,
Mhe Amos Makalla, amesema chama Cha Mapinduzi CCM kitakuwa mstari wa mbele katika kutekeleza kwa vitendo haki, usawa na wajibu.
Nia ya CCM Tanzania kuwa na uchaguzi ulio huru, wa haki na wenye kuaminika.
Ndg Makalla alimwakilisha Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi.
Amevikumbusha vyombo vya habari kuwa na vyama vya Siasa kuwa , pamoja na kuandika habari zao kwa uhuru, vinapaswa kutambua umuhimu wa kulinda amani na usalama wa nchi.
Mhe Makalla amesisitiiza kuwa kama Taifa hatuna Mbdala wa Mama Tanzania.
Mhe Makala for Change
Acha kuongea ujinga. CCM inatoa elimu gani?. Elimu watu wanalipia kwa pesa zao halafu unaleta uchawa hapa.Hiyo akili na Elimu yako ishukuru sana CCM
Huwezi ukawa mgombea wa urais na ukawa mwenyekiti wa Tume muda huhuo.Nasema Uchaguzi wa Tanzania hata kama Lissu yeye mwenyewe atakuwa mkt wa tume bado kipigo kitamuhusu tu.
Kwa hivyo makala amekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ili atuhaminishe uchaguzi utakuwa huru na haki.Sasa unachobisha unao ushahidi Uchaguzi huu hautakuwa wa haki na huru?